Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nasema tena dar ipo moja tena ya msaada, unapinga.
images (7).jpeg
 
Kijana nimekwambia acha ujinga
Tanzania ni kubwa mno na imeizidi kenye bali mno kwenye masuala ya policy.
Nakuomba ujifunze na usome masuala ya international economy.

Pili Tanzania tumepitia katika hatua zote za uchumi. Hayo unayoyasema tumeshayafanya yakatuletea hasara nyingi tu.

Miaka ya 1995 hadi 2005 tulikuwa na sera za privatization zilifanya taifa letu lirudi nyuma na kuwa ombaomba.

Sasa hivi miradi yote ya kimkakati, lazima isimamiwe na umma.

Mambo ya majengo ni issue ndogo sana kijana. Taifa linalojitambua haliwezi kujilingishia majengo.
Sera za Tanzania zipo wazi sana kwamba hakuna limitation ya kujenga. Ndio maana sisi watanzania nyumba nyingi za makazi wamejenga watu binafsi. Tofauti kabisa na kwenu mkenya binafsi hawezi kujenga nyumba yake mwenyewe.

Unatakiwa ukubali siyo ubishani wa kijinga.

Hapa Tanzania kuna China Plaza, CRDB Tower, NMB Tower, Umoja wa Vijana nk. Sasa sikuelewi kinachokuuma ni nini!?
Nani amekudanganya kuwa Wakenya hawajengi nyumba zao wenyewe? Tunajengewa na nani? Serikali? Wacha ujinga.
 
Serikali haistahili kufanya biashara sana. Biashara wachieni private sector.
Ninyi mumeachia Private sector kufanya kila kitu, unaona matokeo yake?, serikali yenu imefilisika inategemea kukopa toka kwa matajiri, sisi serikali yetu inawekeza katika miradi mbalbali ndio sababu serikali yetu inaweza kujiendesha bila kutegemea mikopo kwa kiasi kikubwa.

Tatizo lenu hamtumii akili, IMF ilikuja na mpango wake wa SAP na kukataza serikali za Africa kufanya biashara, matokeo yake mashirika mengi ya serikali na viwanda viliuzwa na kubinafsishwa kwa matajiri, matekeo yake serikali nyingi za Africa zilipoteza uwezo WA kiuchumi na kutegemea mikopo zaidi, mfano mzuri ni Kenya
 
Sasa hebu tuoneshe nyumba za watu binafsi tulinganishe na bongo. Pwahahaha. Zaidi sana ni wazungu wanawajengea.
Nyumba za makazi asilimia tisini na tisa (99%) hapa Kenya zimejengwa na watu binafsi au kampuni za kibinafsi. Hazijajengwa na serikali.
 
Nimekuambia ulete proof. Stupid, kibera slums ndio nyumba za watu binafsi, you fool!!?
Kwa hivyo unataka proof gani za umiliki. Mjinga wewe. Unadhani mimi nafanya kazi ndani ya wizara ya ardhi ili nikuletee title deed za mashamba zote Kenya? Ama unataka nikuletee ushaidi upi? Picha? Maana picha sio ushahidi.
 
anachanganya public and private companies! Sijui hili ni mbwigambwiga la wapi!?
Wewe unachanganya publicly listed companies na government owned companies. Airtel ni publicly-listed but the public owns less than 50% of the shares kwa hivyo private investors bado wanamiliki more than 50% of the shares na wao ndio wanaocontrol the company.
 
Back
Top Bottom