Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
atakuwa alienda tuition si kwa yai hili! 🤣 🤣 🤣Si wanasemaga hajui English 🤣🤣🤣
atakuwa alienda tuition si kwa yai hili! 🤣 🤣 🤣Si wanasemaga hajui English 🤣🤣🤣
Uhehehehhehe wameandika nani alieandika kwann wasiweke link ya source yenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣We huoni hapo chini ana andika source,,don be blind penye Kenya inawaongoza🤣
Futa basi kamasi 🤣🤣🤣🤣
Wanamu under estimate sana Meko. ..btw hana haja ya kujua sana kama Mkapa kikubwa kazi zake zinaonekana,Wakumbuke hata Malawi na Uganda wanaongea sana kinge lakini wako wapSi wanasemaga hajui English 🤣🤣🤣
Tutabenefit aje apa...kwa hizi rasilimali kama kweli JPM atasimama vizur kila kitu kikaenda Sawa basi uchumi wetu utadouble utapaa utapepeaTwende na fact wakenyani
View attachment 1661997![]()
Gesi ya Helium Yenye Uwezo wa Kukidhi Mahitaji ya Dunia Nzima kwa Miaka 20, Kuanza Kuchimbwa Tanzania mwakani
Kampuni ya Norway ya Helium One ambayo ina leseni ya uziduaji wa gesi adimu duniani ya Helium nchini Tanzania mwezi Desemba mwaka huu inatarajia kujisajili kwenye soko la hisa la London nchini Uingereza.Helium One ina leseni ya uziduaji wa gesi ya Helium inayopatikana kwenye Bonde la ziwa Rukwa...www.serengetipost.co.tz
🤣🤣🤣Hatuko ligi moja naniiUhehehehhehe wameandika nani alieandika kwann wasiweke link ya source yenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hehehhee wanakuogopa sn kwenye statisticsLeo napiga na kufundisha
Twende kazi. Kenya mko wapi!?
Hapa ni Rare Earth Metals.
Leo ni mwendo wa true statistics.
Tanzania ni ya tisa duniani kwa uzalishaji.
Nitaeleza kila madini kazi yake. Tunaanza kama ifuatavyo:
View attachment 1661989View attachment 1661990View attachment 1661991


Hii kelele yote and yet bado sijapata point hata moja!!fool like you talk about my qualification
somebody got ajoke aaah...its too difficult to talk with a teacher about economics matters
0 brain like you real make me wonder what exactly are you teaching kids in school
Like i say your too stupidy to understand even your self, unajifunga kama jinga sasa unafikiri serikali mpka iamue kutumia electronic systeam kukusanya mapatao manake nini? Inamana kulikuwa na mapunguf kweny mfumo ulio kuwa unatumika kablayou cant even read between the line what a fool
About WB , You just prove me right about your level of understanding....honestly i real wish to say your level of understanding is diminishing but men your level of understanding was not even there to begin witha poor soul
Wewe hujielewi kabisa. I'll just leave you to beWw ni kizuu usie elewa ....nimekwambia wao wana kipindi cha mpito kuangalia consistance ya nchi flan kabla hawajakuamisha daraja....na hicho ndicho kilicho fanyika Tz km zilivy fanyiw nchi nyingie pia...lkn haimanish kua 2017 ,18, 19 tulikuw LDC ...sisi tulisha toka hiko
Huoni aibu kwamba licha ya haya yote bado mnatajwa mionongoni mwa mataifa yenye watu wasikini zaidi duniani? Mnakwama wapi lakini?Leo napiga na kufundisha
Twende kazi. Kenya mko wapi!?
Hapa ni Rare Earth Metals.
Leo ni mwendo wa true statistics.
Tanzania ni ya tisa duniani kwa uzalishaji.
Nitaeleza kila madini kazi yake. Tunaanza kama ifuatavyo:
View attachment 1661989View attachment 1661990View attachment 1661991