komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kumbe hamuundiwi km mlivyosemaUmeshaandaa Passport?, huku haturuhusu matumizi ya ID, sisi sio sehemu ya CoW![]()
Kumbe hamuundiwi km mlivyosemaUmeshaandaa Passport?, huku haturuhusu matumizi ya ID, sisi sio sehemu ya CoW![]()
Jamaa mpuuzi sana
Andaa Passport, wacha ukaidi, au umepanga kuangalia kwenye You tube?Kumbe hamuundiwi km mlivyosema




Kama tumetoa $3B kwa ajili ya Ujenzi wa bwawa la Umeme, tutashindwaje kutoa $1.9B?. Hilo neno la kukosa pesa huku Tanzania tulishalisahau muda mrefu sana, huwa tunasikia wakenya wakilitumia mara kwa mara. Tanzania hoyeeeeSi nyie mnajifamya wababe na kuwambia wakandarasi wamalize miradi haraka iwezekanavyo..
Sgr imekuaje tena
Au hamna hela




ila deni la mkulima mdogo mnashindwa kulipa hadi ndege zenu zinazuiwa kutua SA...danganya toto jingaKama tumetoa $3B kwa ajili ya Ujenzi wa bwawa la Umeme, tutashindwaje kutoa $1.9B?. Hilo neno la kukosa pesa huku Tanzania tulishalisahau muda mrefu sana, huwa tunasikia wakenya wakilitumia mara kwa mara. Tanzania hoyeeee![]()
Lazima tujiridhishe uhalali wa yeye kulipwa, Tanzania inaongoza Africa nzima kwa matumizi bora ya pesa za serikali, ndio sababu tunazo pesa nyingi za kutekekeza miradi mikubwa, sisi sio Kenya ambako pesa za setikali na pesa za misaada zinachotwa hovyo na wahuni, pesa ya Kenya 50% inatumika kulipia hewa.ila deni la mkulima mdogo mnashindwa kulipa hadi ndege zenu zinazuiwa kutua SA...danganya toto jinga
muulize huyo msouth kilichomkutaila deni la mkulima mdogo mnashindwa kulipa hadi ndege zenu zinazuiwa kutua SA...danganya toto jinga
Kama Kigamboni iliwatoa kamasi hii Magufuli Bridge itawatoa nyongo na Tanzanite bridge imalizia mainiView attachment 1662325
Me hata nilikua nawashangaa wabongo waliokua wakidebate nao kuhusu ile footbridge likoni![]()



actually streaming-wise Diamond Platnumz has over 1.2 bln streams!
Tueshimiane sina huo mda mchafu wa kuedit uchafu wa kunya, upo hivyo na utaendelea kuwepo hvyoYaani una poteza muda wako kufanya picture editing namna hii?
Exactly hii temporary bridge inabeba vifaru, cranes, ma-winch u name it! Wakati Likoni footbridge hata tuktuk haipiti!hata ukilinganisha likon footbridge na hio supporting bridge for mighty Magufuli bridge .. hio supporting bridge ni bora na nzuri zaid ya likon bridge![]()
Nigeria, tanzania congo domination
Wamemdhulumu Diamond Platnumz muache kufurahia hiyo ranking ya kipuuzi!Nigeria, tanzania congo domination
Sema watu walionyuma ya ally Kiba wamshauri vizuri, yani Kama angekuwa anatoa ngoma kama wenzie hao hyo namba 3 ilikuwa yake
Fananisha na hii, leo nikitoka kwenye miangaiko yng pande za mji kasoro bahari, Morogoro.Sisi tuacheni na culture yetu mazee
Way to ushagoo
View attachment 1662346View attachment 1662347View attachment 1662348View attachment 1662349



