Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtwara Regional Hospital
FB_IMG_1609257889949.jpg
 
Wakenya wamekuwa wanyoonge mno.
Hawana cha kutuonesha imebaki kelele ya Global Domestic Product, which has nothing to do with economic wealth.
Sasawa mr "global domestic product"
Usijali hata hyo pia mtatupita
 
Kama unafuatilia vizuri, utagundua kwamba wamesema watakabidhi April 2021. Bora kuchekewa kuliko kufanya haraka lakini chini ya kiwango kama huko Kenya
Si nyie mnajifamya wababe na kuwambia wakandarasi wamalize miradi haraka iwezekanavyo..
Sgr imekuaje tena
Au hamna hela
 
Back
Top Bottom