Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

African countries with many malls
View attachment 1662084
Daaah wakenya bwana🙄 hapo ndo hua mnatuacha hoi ASA si malls vitu vya kujengwa tu kama Barabara,Bora mkejisifia madini/rasilimali ambazo hazipatikani sehemu yeyote Ile duniani mzima hapo Sawa,labda nikunyooshe Brother siku hizi watu hawafanyi shopping kwa malls sijui umenielewa Yani kiufupi kila kitu Kipo online unaagiza unaletewa mpaka mlangoni iwe mswaki iwe meli Sawa🙂malls watu wanaenda kwa ajili ya leisure, experience,social life ndio kuna watu wanaenda shopping Ila sio kivile kama zamani ,kuna nchi zina malls duniani mzima kama China, Malaysia, Singapore,America Philippines etc? Mambo siku hizi online
 
Station imefinywa sana, kwani ardhi hamna. 👇 👇👇🤣View attachment 1662115
Eti na ndiyo the best of all,hii ata haiwezi fikia ya Mombasa
images (69).jpeg
images (70).jpeg
 
Daaah wakenya bwana🙄 hapo ndo hua mnatuacha hoi ASA si malls vitu vya kujengwa tu kama Barabara,Bora mkejisifia madini/rasilimali ambazo hazipatikani sehemu yeyote Ile duniani mzima hapo Sawa,labda nikunyooshe Brother siku hizi watu hawafanyi shopping kwa malls sijui umenielewa Yani kiufupi kila kitu Kipo online unaagiza unaletewa mpaka mlangoni iwe mswaki iwe meli Sawa🙂malls watu wanaenda kwa ajili ya leisure, experience,social life ndio kuna watu wanaenda shopping Ila sio kivile kama zamani ,kuna nchi zina malls duniani mzima kama China, Malaysia, Singapore,America Philippines etc? Mambo siku hizi online
Utajua hujui,,malls za Kenya si shopping pekeyake nanii
New mall with apartments coming up in Westlands
Screenshot_20201228-145607~2.png
 
Daaah wakenya bwana🙄 hapo ndo hua mnatuacha hoi ASA si malls vitu vya kujengwa tu kama Barabara,Bora mkejisifia madini/rasilimali ambazo hazipatikani sehemu yeyote Ile duniani mzima hapo Sawa,labda nikunyooshe Brother siku hizi watu hawafanyi shopping kwa malls sijui umenielewa Yani kiufupi kila kitu Kipo online unaagiza unaletewa mpaka mlangoni iwe mswaki iwe meli Sawa🙂malls watu wanaenda kwa ajili ya leisure, experience,social life ndio kuna watu wanaenda shopping Ila sio kivile kama zamani ,kuna nchi zina malls duniani mzima kama China, Malaysia, Singapore,America Philippines etc? Mambo siku hizi online
Malls niza middle class, kama hakuna jua middle class ndogo. Unapinga.
 
Hahaha. Kama Malazy wangempa Mchina huu mradi wa SGR basi mradi wenyewe ungekuwa ulishakamilika mwaka uliopita kulingana na ratiba. Lakini Mturuki amepitiliza deadline ya 2019 na sasa 2020 pia imeisha kabla ya kilomita 200 kukamilika.

Geza Ulole joto la jiwe
 
Hahaha. Kama Malazy wangempa Mchina huu mradi wa SGR basi mradi wenyewe ungekuwa ulishakamilika mwaka uliopita kulingana na ratiba. Lakini Mturuki amepitiliza deadline ya 2019 na sasa 2020 pia imeisha kabla ya kilomita 200 kukamilika.

Geza Ulole joto la jiwe
Nisawa kapitiliza ila quality unaionaje? Mana inatarajiwa mwezi wa nne kuwa tayari
 
Hahaha. Kama Malazy wangempa Mchina huu mradi wa SGR basi mradi wenyewe ungekuwa ulishakamilika mwaka uliopita kulingana na ratiba. Lakini Mturuki amepitiliza deadline ya 2019 na sasa 2020 pia imeisha kabla ya kilomita 200 kukamilika.

Geza Ulole joto la jiwe
Lakini angejenga reli chini ya kiwango kwa gharama kubwa sana kama alivyowajengea Kenya na Ethiopia, very low quality job
 
Back
Top Bottom