Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmhh...
289EF3E8-CC7A-40E6-835F-70AACF98A387.jpeg
6FA4F838-2116-4050-B3CB-D6586DF4C750.jpeg
 
Sasa nashindwa kukuelewa mkataba was ujenzi wa reli yetu toka Dar mpaka Morogoro ni miezi 36, wapo ndani ya muda. Wanategemea kukabidhu 2021 mwezi wa saba.

Tuliza hicho kikeketwa muda ukifika utakunwa tu.
Ilikuwa ikabidhiwe mwisho wa 2019. Wacha uongo
 
Sasa nashindwa kukuelewa mkataba was ujenzi wa reli yetu toka Dar mpaka Morogoro ni miezi 36, wapo ndani ya muda. Wanategemea kukabidhu 2021 mwezi wa saba.

Tuliza hicho kikeketwa muda ukifika utakunwa tu.
Mm nawashangaa sana Wakenya, wanalalamika kwamba reli yetu imechukua muda kukamilika wakati yao imeanza kabla yetu na haijaisha mpk leo.
 
Back
Top Bottom