komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kapumzike kwanza, muache mukulu ahangaikie swala la kodi akafanikiwa..kabisa tena ni zaidi ya utopolo......
ulikuwa ulifahamu hili...?
Lkn watu km nyie ndio mtarudisha nyuma heri mulale kwanza
Kapumzike kwanza, muache mukulu ahangaikie swala la kodi akafanikiwa..kabisa tena ni zaidi ya utopolo......
ulikuwa ulifahamu hili...?
Ndio maana hamuwezi kujiemdeshaAkili kubwa siku zote hai risk kijinga jinga..
We pia ukitaka njoo upewe shares zako ilimradi na wewe utu boost kw kodi
As far as i know, Lamu is not 90% complete even the first berth having no cranes and necessary machinery and containers Godowns!Lamu port ambayo iko zaidi ya 90% complete? Wacha mchezo. By October Lamu port itakuwa imeshakamilika. Afterall berths mbili zimeshakamilika. Imebaki berth moja tu. Halafu hizi ni the biggest berths in Africa kwa hivyo ukumbuke hilo.
sawa napumzika na ninamuacha mukulu ahangaike na masuala ya kodi.....Kapumzike kwanza, muache mukulu ahangaikie swala la kodi akafanikiwa..
Lkn watu km nyie ndio mtarudisha nyuma heri mulale kwanza
Mwaka ujao unamaanisha 2021!?Mwaka ujao
Eeee!!kw sababu sisi ni capitalist heri tukope ndio kulipa pole pole kukiko kuchukua mpunga wote huo kuupeleka katika miradi..
endeleeni kujidanganya hata barabara hamna ku-connect lamu na hinterlands!Mwaka ujao
Endeleeni kukopa tunawatakia maisha mema.Eeee!!kw sababu sisi ni capitalist heri tukope ndio kulipa pole pole kukiko kuchukua mpunga wote huo kuupeleka katika miradi..
Heri tuuskume katima elimu na technology
The cost of producing powder milk isn't? Soy milk 😂😂😂The cost of production is low in Uganda it's high in Kenya so the Kenyans were on the loosing side
Nyie vioi hko kuhusu miradi kuendeshwa kw hela za ndani..Endeleeni kukopa tunawatakia maisha mema.
wenyewe wanadhani kuwa ni mahindi tu na mchele pekee ndicho tunachowalisha....Wakenya hawawezi kulima Karanga.
Hizi ni karanga za Tanzania.View attachment 1660482View attachment 1660483View attachment 1660484View attachment 1660485
zinaitwa FN SCAR 17,wala si AK 47.Pia kuna M134 GATLIN GUN na NIGHT VISION GOGGLESUnajichosha na hizo AK47 zenu. Dunia ipo mbali mno mmeachwa nyuma.
Yaani askari anakuwa na tochi za UK ngilia migodini. Ushamba huo.
View attachment 1660400View attachment 1660401
Siku hizi watu hawaingii msituni kupigana. Tunapigana vita vya kiuchumi.zinaitwa FN SCAR 17,wala si AK 47.Pia kuna M134 GATLIN GUN na NIGHT VISION GOGGLES View attachment 1660448View attachment 1660452View attachment 1660454View attachment 1660496View attachment 1660499
Nimekuwekea evidence kibao kuhusu jambo hili. This time nataka wewe ndio uproove kwamba hakuna barabara inayoconnect Lamu port na hinterland.endeleeni kujidanganya hata barabara hamna ku-connect lamu na hinterlands!
Mkoloni aliondokaga na akili zao.eti anadai ipo bongo hiyo ,,,, nimecheka ,,kumbe huwa wanaongeaga vitu wasivyovijua...leo nimecheka sana ...
mpaka kilimanjaro yangu nimemwaga