Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa wacheza show ndo mnawashindanisha na JWTZ hawa, ona walivyo washamba wanaleta mambo ya Arnold [emoji2][emoji2][emoji2]
JamiiForums-1037527245.jpg
JamiiForums1085751566.jpg
 
nimeanza kuona Kenya hakuna kitu/shirika wanaimiliki kwa asilimia mia moja!

Tanzania, kuna vingi tu tunaviendesha wenyewe mfano ATCL, TTCL etc

sasa imagine hao foreign investors wanajiondoa kwenye hizo investment partnership [emoji1438]‍[emoji3603]
hakuna ambacho wanaweza kusimama alone kwa kifupi kenyan government haina miradi binafsi ya kimkakati yakuingizia seriakali mshiko mrefu zaidi ya kukusanya kodi tu....
wapo mahala pabaya sana
 
hakuna ambacho wanaweza kusimama alone kwa kifupi kenyan government haina miradi binafsi ya kimkakati yakuingizia seriakali mshiko mrefu zaidi ya kukusanya kodi tu....
wapo mahala pabaya sana
Kodi ndio kila kitu kw nchi, au unafikiria nchi inajiendesha na km biashara eti mpka usubirie faida..
Ndio manake hko magu anawapeleka vibaya sana kuhusu maswala ya kodi..
 
jamaa leo tunaweza kudicuss kuhusu ownerships ya mashirika au na kampuni mbalimbali kwenye hizi nchi mbili?
just imagine shirika lao la umeme halimilikiwi na serikali [emoji817][emoji1438]‍♂️

TANESCO ya kenya
IMG_1609072209.807326.jpg


TANESCO ya Tanzania
IMG_1609072244.372765.jpg


mhh hawa jamaa uchumi wao can be anytime unstable.. tunaweza kusema uchumi wao umeshikiliwa na watu wa nje
 
Hawa wacheza show ndo mnawashindanisha na JWTZ hawa, ona walivyo washamba wanaleta mambo ya Arnold [emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 1660421View attachment 1660422
kwa hiyo mkawapeleka photo shop kupiga picha...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] au walikuwa location kuandaa movie ya street war na hilo ndiyo cover lenyewe

aisee kweli nyie mende
 
jamaa leo tunaweza kudicuss kuhusu ownerships ya mashirika mbalimbali kwenye hizi nchi mbili?
just imagine shirika lao la umeme halimilikiwi na serikali [emoji817][emoji1438]‍[emoji3603]

TANESCO ya kenya
View attachment 1660424

TANESCO ya Tanzania
View attachment 1660426

mhh hawa jamaa uchumi wao can be anytime unstable
Akili kubwa..
Mgao unakula 50% kodi wanakupa wewe na pia vile vile nyie wengine mnaendeshwa kazi yenu nikusubiria mgao wenu baada ya kila kitu kukatwa hku eti mumeshirikiana kifedha..

Akili kubwa, faida tunataka na kodi tunataka..upo kizere cha chato
 
Kodi ndio kila kitu kw nchi, au unafikiria nchi inajiendesha na km biashara eti mpka usubirie faida..
Ndio manake hko magu anawapeleka vibaya sana kuhusu maswala ya kodi..
haujaelewa point yangu.....

kuwa mpole ukiielewa rudi
 
jamaa leo tunaweza kudicuss kuhusu ownerships ya mashirika au na kampuni mbalimbali kwenye hizi nchi mbili?
just imagine shirika lao la umeme halimilikiwi na serikali [emoji817][emoji1438]‍[emoji3603]

TANESCO ya kenya
View attachment 1660424

TANESCO ya Tanzania
View attachment 1660426

mhh hawa jamaa uchumi wao can be anytime unstable
Na hao shareholders ndo wanasiasa hao hao hayo majina ya hzo kampuni ni Geresha tu [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205].
 
kwa hiyo mkawapeleka photo shop kupiga picha...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] au walikuwa location kuandaa movie ya street war na hilo ndiyo cover lenyewe

aisee kweli nyie mende
Yn ni wajinga sn, yanapenda sifa mno haya mangedere a.k.a [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
 
Safaricom not in Tanzania.
This are mobile operators in Tanzania
1. Vodacom
2. Tigo
3. Airtel
4. Zantel
5. Halotel
6. TTCL

Kwahiyo ondoa upumbavu wako.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dominate kumbe ina maana nyingine? Kati ya makampuni 500 yeye mwenyewe hawezi taja hata matano yanayo DOMINATE [emoji23] kama anavyosema.
 
jamaa leo tunaweza kudicuss kuhusu ownerships ya mashirika au na kampuni mbalimbali kwenye hizi nchi mbili?
just imagine shirika lao la umeme halimilikiwi na serikali [emoji817][emoji1438]‍[emoji3603]

TANESCO ya kenya
View attachment 1660424

TANESCO ya Tanzania
View attachment 1660426

mhh hawa jamaa uchumi wao can be anytime unstable.. tunaweza kusema uchumi wao umeshikiliwa na watu wa nje
yaani hao wakidrop hawapandi.....nikudrop mwanzo mwisho au kustuck.....

hakuna nchi hapo
 
Akili kubwa..
Mgao unakula 50% kodi wanakupa wewe na pia vile vile nyie wengine mnaendeshwa kazi yenu nikusubiria mgao wenu baada ya kila kitu kukatwa hku eti mumeshirikiana kifedha..

Akili kubwa, faida tunataka na kodi tunataka..upo kizere cha chato

akili za wapi hizi?

so hizo kodi wanazolipa zinazidi kile wao wanachochukua???

na hio 50% serikali imegharamia.. nyie huyu jamaa vip??
 
Akili kubwa..
Mgao unakula 50% kodi wanakupa wewe na pia vile vile nyie wengine mnaendeshwa kazi yenu nikusubiria mgao wenu baada ya kila kitu kukatwa hku eti mumeshirikiana kifedha..

Akili kubwa, faida tunataka na kodi tunataka..upo kizere cha chato
kweli kabisa hii ni akili kubwa sana ,,,,
 
Anajitoa ufahamu, hao jamaa hawajui uzuri wa shares kuliko kumiliki 100% serekali..
Yani serekali inamiliki 35%, inakula 35% ya profit plus ushuru, akili kubwa[emoji1787][emoji1787]
Kama hujui issue za Accounts kaa kimya. Naongea na watu wa wanaojielewa.
Nikupatie siri kijana.
Dividend hugawiwa kulingana na ripoti zote tatu za kifedha.
1. Financial Performance
2. Financial position
3. Cash flow.
Unaweza ukafunga mwaka Financial Performance ni nzuri ukiwa na faida kubwa kumbe cash flow haina kitu.
Yaani cash haipo kwamba revenue mliyoipata ni receivable.

Halafu kitu jingine ukienda kwenye upande wa financial position kuna ratio lazima uzitazame usije ukajikuta huwezi kuendesha biashara.
Cash/Current Liability
Current asset/Current Liability
Hizo ratio ni muhimu sana.

Kama hujui kwa kimya.
 
akili za wapi hizi?

so hizo kodi wanazolipa zinazidi kile wao wanachochukua???
Tena kwa mbali sana, au nikuketee faida iliyopata safaricom kisha uone baada ya tax walibaki na ngapi na ujue tena kuna mgao wa GOK 35%..

Usicheze na capitalist wewe..
Hatupendi ku risk pekeetu alafu kisha iweje badae
 
Back
Top Bottom