komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]santa sana, imepenya hyo nadhanikweli kabisa hii ni akili kubwa sana ,,,,
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]santa sana, imepenya hyo nadhanikweli kabisa hii ni akili kubwa sana ,,,,
eti anadai ipo bongo hiyo ,,,, nimecheka ,,kumbe huwa wanaongeaga vitu wasivyovijua...leo nimecheka sana ...
mpaka kilimanjaro yangu nimemwaga
jamaa alishafel huu mchezo ikabidi akimbie hoja yake ,na kujipanga upya baada ya mdosi mwenye wi-fi kuswitch off router yake..[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dominate kumbe ina maana nyingine? Kati ya makampuni 500 yeye mwenyewe hawezi taja hata matano yanayo DOMINATE [emoji23] kama anavyosema.
Kama banana kwenu ni nyasi mbona hamkua leading in Africa kama Tanzania?Hehehe....you guys have been brainwashed to think that TZ is the garden of Eden!!! We shall wait for those new statistics then. For now the available data shows that there is no meaningful Agriculture in TZ . Compared to other African countries TZ is average at best.
Serikali haitaki kujua, lazima kodi mulipe na mgao wa profit ipate..Kama hujui issue za Accounts kaa kimya. Naongea na watu wa wanaojielewa.
Nikupatie siri kijana.
Dividend hugawiwa kulingana na ripoti zote tatu za kifedha.
1. Financial Performance
2. Financial position
3. Cash flow.
Unaweza ukafunga mwaka Financial Performance ni nzuri ukiwa na faida kubwa kumbe cash flow haina kitu.
Yaani cash haipo kwamba revenue mliyoipata ni receivable.
Halafu kitu jingine ukienda kwenye upande wa financial position kuna ratio lazima uzitazame usije ukajikuta huwezi kuendesha biashara.
Cash/Current Liability
Current asset/Current Liability
Hizo ratio ni muhimu sana.
Kama hujui kwa kimya.
ukishanielewa urudi tena dadaa.....Hahahah!!naona umenipata sasa, lazima nikuweke sawa katika hili swala..
We unafikiria nchi ni km supermarket eti unaipeleka kibiashara biashara..
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]santa sana, imepenya hyo nadhani
Upupu mtupu
Umeishiwa hoja naona, ila usijali kabisa lkn ujue nchi bila kodi ni utopoloukishanielewa urudi tena dadaa.....
naona unachanganya file tu....
Utawehuka. Miaka hii.Serikali haitaki kujua, lazima kodi mulipe na mgao wa profit ipate..
Yani unakula mara mbili[emoji1787][emoji1787]
Akili kubwa
Inamaana kakasirika[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa akili nyingine hapo jamaa kakutukana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi ambayo haiwekezi inatengemea kodi ni goigoi. Nchi zote zilizoendelea serikali inawekeza.Umeishiwa hoja naona, ila usijali kabisa lkn ujue nchi bila kodi ni utopolo
Akili kubwa siku zote hai risk kijinga jinga..Utawehuka. Miaka hii.
By October mwaka gani!?Lamu port ambayo iko zaidi ya 90% complete? Wacha mchezo. By October Lamu port itakuwa imeshakamilika. Afterall berths mbili zimeshakamilika. Imebaki berth moja tu. Halafu hizi ni the biggest berths in Africa kwa hivyo ukumbuke hilo.
Uwekezaji ni nini jomba?Nchi ambayo haiwekezi inatengemea kodi ni goigoi. Nchi zote zilizoendelea serikali inawekeza.
Mwaka ujaoBy October mwaka gani!?
kabisa tena ni zaidi ya utopolo......Umeishiwa hoja naona, ila usijali kabisa lkn ujue nchi bila kodi ni utopolo