Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani 254 na 255 kwa maneno kama wake wenza wallahi komora unamaneno ya shombo sana wewe jamaa. Ila wewe mtu una ngozi ngumu mashambulizi na kuitwa binti na team 255 lakini bado huwa unakomaa. Hongera sana mkuu komora watu kama wewe tunawaitaji kwenye jukwaa sana tu.
Hahahaha!!hapa lazima tuwekane sawa na tutaelewana tu
 
Wewe unajua maana ya lease? Deni gani unazungumzia wewe?
Pwahahahahaha
Screenshot_20201227-135202.png
 
Facts ni kwamba KDF imeshindwa kuwamaliza Alshabaab badala yake KDF wameuliwa wengi na silaha zao kutekwa na kuharibiwa, wakati TPDF ndani ya wiki mbili wamewashindia magaidi Msumbiji, zaidi ya facts za ushindi, ni fact gani tena muhimu za jeshi?
Just in KDF destroy alshabaab camp.KUDOS KDF
05018ABC-4BE6-4D38-8217-34702FB87143.jpeg
75CB7216-B0AA-47D9-94D2-B0159D0F2F29.jpeg
5CA44C36-26D5-40B4-B90F-B100C6C2B012.jpeg
 
Back
Top Bottom