Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii ya leo leo
Hahahaha, zaidi ya F-5 figheter jets ambazo zipo tano tu Kenya nzima, na zimechakaa sana, ndio hizo zimepita hapo katika formation ya "Spear head", hakuna silaha yoyote iyoonyeshwa hapo, hizo ndeg e na helcopters zingine zote sio "Combatant", hizo ni kwa ajili ya "transportation tu
 
Aliyewaambia hivi vitu vinavutia aliwadanganya sana,hivi mimi naenda kazini au natoka kazini nakutana na usafiri kama huu.,.siwezi kwa kweli,nid to calm myself, digest things...ukute humo ndani kelele mtindo mmoja.Mziki uko juu kweli kweli...hiv kwenu hakuna wakubwa?!.
Umeona mkuu,unakuta Una mastres yako unataka utulivu, speaker inaanza kudunda,kidogo kidogo Mataa ya lesser yamewashwa hapo siunachanganyikiwa😏
 
Hahahaha, zaidi ya F-5 figheter jets ambazo zipo tano tu Kenya nzima, na zimechakaa sana, ndio hizo zimepita hapo katika formation ya "Spear head", hakuna silaha yoyote iyoonyeshwa hapo, hizo ndeg e na helcopters zingine zote sio "Combatant", hizo ni kwa ajili ya "transportation tu
Unaona kama Kenya ni wazimu ndio tuwe na F-5 jets tano pekee? Wewe pekee ndio huwa unarudia huo uongo bila hata aibu. Hata Watanzania wenzako hawasemi kitu cha ajabu kama hicho.
 
Wapi penye nilisema tuko na F-16? Alafu wenye ndege 34 hawafai kuongea.



Wapi F16 mlizokuwa mnadai mnazo?

komora096 , Tony254 n Teargass
FB_IMG_16077795686794536.jpeg
kdff.jpeg
 
Usifikirie Kenya ni LCD kama nyinyi.
Kufikia mwaka Jana Kenya's military spending is greater than that of both Uganda and Tanzania, combined.

Kwa military spending Tanzania haiko ligi yetu. Najua nyinyi hapa hampendi kuambiwa facts lakini soma facts zenyewe hapa

Hahaha, Bajeti ya nchi yenu ni karibu mara mbili ya Tanzania, lakini bado Tanzania inawazidi kwa mbali sana katika kila kitu, inajenga reli ya SGR, inajenga miradi miku wa sana ya umeme wa maji, inajenga barabara za njia nane, imeweza kujenga miradi ya umwagiliaji maji mara 4 zaidi ya Kenya, imeweza kusambaza maji miji yote hatuna shida ya maji, imeongeza uzalishaji wa chakula kufikia 120%

Bajeti kubwa ya jeshi lenu haina maana kamanashindwa kuwamalizs Alshabaab, sisi ndani ya wiki mbili tu tumewashinda magaidi wa Msumbiji waliosumbua kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. KDF is the weakest Army in EA.
 
Hahahaha, zaidi ya F-5 figheter jets ambazo zipo tano tu Kenya nzima, na zimechakaa sana, ndio hizo zimepita hapo katika formation ya "Spear head", hakuna silaha yoyote iyoonyeshwa hapo, hizo ndeg e na helcopters zingine zote sio "Combatant", hizo ni kwa ajili ya "transportation tu
Kwani ulitaka tuonyeshe ndege zetu zote 150? Ama unadhani tuko na ndege 34 kama nyinyi?
 
Unaona kama Kenya ni wazimu ndio tuwe na F-5 jets tano pekee? Wewe pekee ndio huwa unarudia huo uongo bila hata aibu. Hata Watanzania wenzako hawasemi kitu cha ajabu kama hicho.
Tony, ukifanikiwa kunionyesha ushahidi wowote kwamba Kenya inazo ndege aina ya F-5 zaidi ya 5/6 nitatoka JF. Zilikua saba, moja ilitunguliwa na Alshababu
 
I can feel your pain.
Hahaha, Bajeti ya nchi yenu ni karibu mara mbili ya Tanzania, lakini bado Tanzania inawazidi kwa mbali sana katika kila kitu, inajenga reli ya SGR, inajenga miradi miku wa sana ya umeme wa maji, inajenga barabara za njia nane, imeweza kujenga miradi ya umwagiliaji maji mara 4 zaidi ya Kenya, imeweza kusambaza maji miji yote hatuna shida ya maji, imeongeza uzalishaji wa chakula kufikia 120%

Bajeti kubwa ya jeshi lenu haina maana kamanashindwa kuwamalizs Alshabaab, sisi ndani ya wiki mbili tu tumewashinda magaidi wa Msumbiji waliosumbua kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. KDF is the weakest Army in EA.
 
Hahaha, Bajeti ya nchi yenu ni karibu mara mbili ya Tanzania, lakini bado Tanzania inawazidi kwa mbali sana katika kila kitu, inajenga reli ya SGR, inajenga miradi miku wa sana ya umeme wa maji, inajenga barabara za njia nane, imeweza kujenga miradi ya umwagiliaji maji mara 4 zaidi ya Kenya, imeweza kusambaza maji miji yote hatuna shida ya maji, imeongeza uzalishaji wa chakula kufikia 120%

Bajeti kubwa ya jeshi lenu haina maana kamanashindwa kuwamalizs Alshabaab, sisi ndani ya wiki mbili tu tumewashinda magaidi wa Msumbiji waliosumbua kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. KDF is the weakest Army in EA.
Hauna cha maana cha kusema isipokuwa tu kuimba propaganda za sisiemu. Najua hampendi facts lakini hata hivo facts on the grounds haibadiliki.😂😂

Military ranking ya East Africa👇👇

Ethiopia
Kenya
Ugandan
Tanzania
 
Hahahaha, zaidi ya F-5 figheter jets ambazo zipo tano tu Kenya nzima, na zimechakaa sana, ndio hizo zimepita hapo katika formation ya "Spear head", hakuna silaha yoyote iyoonyeshwa hapo, hizo ndeg e na helcopters zingine zote sio "Combatant", hizo ni kwa ajili ya "transportation tu
Hzi terms zngine za kingereza km wengine hatuzielewi tuachane nazo jamani

We unajua maana ya combatant kwel au unabwetuka tu jamani..
 
Hauna cha maana cha kusema isipokuwa tu kuimba propaganda za sisiemu. Najua hampendi facts lakini hata hivo facts on the grounds haibadiliki.

Military ranking ya East Africa

Ethiopia
Kenya
Ugandan
Tanzania
Facts ni kwamba KDF imeshindwa kuwamaliza Alshabaab badala yake KDF wameuliwa wengi na silaha zao kutekwa na kuharibiwa, wakati TPDF ndani ya wiki mbili wamewashindia magaidi Msumbiji, zaidi ya facts za ushindi, ni fact gani tena muhimu za jeshi?
 
Tony, ukifanikiwa kunionyesha ushahidi wowote kwamba Kenya inazo ndege aina ya F-5 zaidi ya 5/6 nitatoka JF. Zilikua saba, moja ilitunguliwa na Alshababu
Unataka ushaidi wa aina gani? Kwani mimi ni mwanajeshi nikuletee secret documents? Kuna sources nyingi zimepostiwa hapa JF miaka nenda miaka rudi na Wakenya wengine lakini wewe umeamua kuzipuuza halafu unaniitisha evidence? Kama umepuuza evidence zote ambazo unewekewa hapa JF kwa miaka nyingi basi mbona mimi niwaste energy yangu kubishana na wewe. Amini unachotaka lakini nimeanza kuona wewe sio mtu muungwana kama nilivyokuwa nikifikiri.
 
Hahaha, Bajeti ya nchi yenu ni karibu mara mbili ya Tanzania, lakini bado Tanzania inawazidi kwa mbali sana katika kila kitu, inajenga reli ya SGR, inajenga miradi miku wa sana ya umeme wa maji, inajenga barabara za njia nane, imeweza kujenga miradi ya umwagiliaji maji mara 4 zaidi ya Kenya, imeweza kusambaza maji miji yote hatuna shida ya maji, imeongeza uzalishaji wa chakula kufikia 120%

Bajeti kubwa ya jeshi lenu haina maana kamanashindwa kuwamalizs Alshabaab, sisi ndani ya wiki mbili tu tumewashinda magaidi wa Msumbiji waliosumbua kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. KDF is the weakest Army in EA.
Mwisho wa siku vingi tulifanya kitambo
 
Back
Top Bottom