Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndani humo kuna club disco mziki mnene, nyama choma kama zote yaani ni parte after parte mnafika Moshi na Arusha asubuhi saa 1


Hahahaha ila Sidhani kama kuna nchi inayopenda starehe Africa kama Tanzania [emoji28][emoji28][emoji28] labda SA

Watanzania noma linapokuja suala la bata [emoji23][emoji16][emoji16]

View attachment 1657883View attachment 1657884
Ilo bata lake nakwambia Acha tu...
 
Kwn chokoraa huishi maisha gani, nyie mnacheka watu ambao waliachwa na wazazi wao katika mazingira magumu na wala hawana pa kwenda kubakia mayatima..

Au ndio hyo ni hekima yenu aliyowaachia nyerere, duniani homeless people watele
tatizo huwa mnajitamba wakati asilimia kubwa ya maisha ya wananchi baina ya hizi nchi mbili zinalingana...
tena dar huwezi kukuta wamerundikana kama hivyo hata machizi wenyewe hawana life style ya aima hiyo...

swali la msingi una uhakika gani kuwa hao wote ni yatima..?
lete evidence
 
Mbona mimi nimekuletea video na kila kitu kimeongelewa mule ndani, uzembe ndio unakusumbua..
Hta kwanza kubishana na wewe ni upuuzi tu, yani umepewa nakala inayoongelea kila kitu lkn bado unangangania upuuzi

KWENDAAA!!
wakala si kitu hata mimi naweza kuandaa kipindi maalum nikatengenezea tittle mtaani,,
we nipe jina la kampuni kisha brand wanayozalisha mbona simple tu,,,,,usiniletee pang'ang'a utakuwa huolewi
 
Ndani humo kuna club disco mziki mnene, nyama choma kama zote yaani ni parte after parte mnafika Moshi na Arusha asubuhi saa 1


Hahahaha ila Sidhani kama kuna nchi inayopenda starehe Africa kama Tanzania [emoji28][emoji28][emoji28] labda SA

Watanzania noma linapokuja suala la bata [emoji23][emoji16][emoji16]

View attachment 1657883View attachment 1657884
Wacha kabisa mkuu, tunajishusha kuweka battle na failed state km Kenya, hii co ligi yao kabisa, washidane na failed wenzao kina Somalia, DRC, n.k.[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz bhn yn imekuwa tishio sn Africa kwa ss, mana mambo inayofanya ni full MIC.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi me mwenyewe namshangaa waliicheleweshaje kuingia upper middle income, yaani ukitembea hizo nchi zinazojitia uzwazwa utashangaa zilivyochakaa na Tanzania ilivyo na maisha mazuri, sema tu watanzania ni wa kimya huwa hatujitangazi na hatujioneshi kama tuna kitu.
 
Wacha kabisa mkuu, tunajishusha kuweka battle na failed state km Kenya, hii co ligi yao kabisa, washidane na failed wenzao kina Somalia, DRC, n.k.[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Hakuna mkenya wa kutumia pesa kugharamia bata wanaokula hao walio board hiyo train, hiyo bottle 1 Kenya ni mara 4 ya bei ya Tanzania, unaweza kuona namna walivyo na maisha magumu 😅😅😅
 
Hahahaha Hakuna mkenya wa kutumia pesa kugharamia bata wanaokula hao walio board hiyo train, hiyo bottle 1 Kenya ni mara 4 ya bei ya Tanzania, unaweza kuona namna walivyo na maisha magumu [emoji28][emoji28][emoji28]
Nilikutana na wine zinauzwa Tsh 3,000 Dodoma halafu zipo kwenye chupa nzuri zenye hadhi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikutana na wine zinauzwa Tsh 3,000 Dodoma halafu zipo kwenye chupa nzuri zenye hadhi [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaenda kwenye wine mbali sana Kwanza majority ya wakenya hawajawahi kunywa wine

Njoo kwenye bottled water, muulize mkenya yeyote kama alishawahi kuona maji mineral water 1.7 ltrs kwa 23ksh kama sio miujiza 😅😅😅

 
Hao wakenya huko USA wanamiliki kampuni la usafirishaji mizigo, lenye idadi ya hayo malori, sio kampuni la kutengeneza magari, huyo ni zuzu achana naye.
Wenzako walikua wanasema hakuna wakenya ughaibuni wanaomiliki makampuni sasa ameanza kusaga meno..

Arudi kwanza akajifunze maana ya kampuni, kulialia hakutomsaidia
 
wakala si kitu hata mimi naweza kuandaa kipindi maalum nikatengenezea tittle mtaani,,
we nipe jina la kampuni kisha brand wanayozalisha mbona simple tu,,,,,usiniletee pang'ang'a utakuwa huolewi
Kwaheri mzembe
 
tatizo huwa mnajitamba wakati asilimia kubwa ya maisha ya wananchi baina ya hizi nchi mbili zinalingana...
tena dar huwezi kukuta wamerundikana kama hivyo hata machizi wenyewe hawana life style ya aima hiyo...

swali la msingi una uhakika gani kuwa hao wote ni yatima..?
lete evidence
Hyo ndio shida ya kuparamia vity tu bila ya kufanya research, hzo ni screenshots kutoka kw nakala flani ya mwanahabari wetu huku nchini..
Hyo ni documetary ya hao watoto wengi wao ni mayatima na hawana pakwend na wakabaki kukaa na wale ambao hawana makaazi baada ya kuungana..

Nyie mnawachekea
 
Unaenda kwenye wine mbali sana Kwanza majority ya wakenya hawajawahi kunywa wine

Njoo kwenye bottled water, muulize mkenya yeyote kama alishawahi kuona maji mineral water 1.7 ltrs kwa 23ksh kama sio miujiza [emoji28][emoji28][emoji28]

huwa wanazijua kandoro
 
Udsm
2D9B8228-13C0-4591-B551-475377390937.jpeg
 
Hyo ndio shida ya kuparamia vity tu bila ya kufanya research, hzo ni screenshots kutoka kw nakala flani ya mwanahabari wetu huku nchini..
Hyo ni documetary ya hao watoto wengi wao ni mayatima na hawana pakwend na wakabaki kukaa na wale ambao hawana makaazi baada ya kuungana..

Nyie mnawachekea
kwa hiyo yatima wapo kenya tu....?

sababu ya uyatima ndiyo walale kwenye nguzo za fly over...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

usinichekeshe mie
 
Back
Top Bottom