Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kazi kuiga iga wazungu tu wkt mnanuka njaa, ushuzi wa churchill ndo nn, toa ushuzi wako apa.
Nimefurahi sana kuona unaumia kw kiasi cha kujiua
Hakuna mtu na akili zake ataangalia comedy za aina ile, sijui nani aliyewadanganya km comedy ni kujitia uchizi na uzezeta
 
Moja wapo ya barabara za mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambazo kwa kweli wakandarasi walifanya kazi kitaalamu kwa viwango vya kimataifa na value for money yake inaonekana hadi leo (hakuna uchakachuaji) ni hii barabara ya kuanzia Chalinze hadi Moro. Kuna barabara nyingi tu zilikuja kujengwa baada ya hii barabara lakini ni mashimo tupu na nyingine zilishakarabatiwa vya kutosha. Sikumbuki vizuri ni kampuni gani ilijenga hii barabara lakini kwa kweli they deserve a big round of applause for this!👏👏👏👏👏👏
 
Na jibu wamelipata





"Streets within the cbd are wide" hehehe!!yani nimecheka kizembe sana, hyo comment imetokea kw mkenya asiyeijua tanzania vizuri, angelivijua vile vichochoro vya pale posta wala asingeli thubutu kuandika hvo
 
Sasa hyo ni nn, wakenya diaspora wanamiliki vitu vya maana zaidi huol upupu
Tuonyeshe mkenya yeyote aliye nnje ya nchi au hata ndani anayezalisha bidhaa kama za kodtec ,,,

wacha ujinga haukawii kutuletea vitu cheap mawigi na shedo pia rangi za kucha ..
download%20(1).jpg
images%20(6).jpg
images%20(5).jpg
images%20(4).jpg
 
"Streets within the cbd are wide" hehehe!!yani nimecheka kizembe sana, hyo comment imetokea kw mkenya asiyeijua tanzania vizuri, angelivijua vile vichochoro vya pale posta wala asingeli thubutu kuandika hvo.
Kwa hiyo hiyo CBD ya Dar barabara zake vichochoro kwa vipimo vya macho yako? Nahisi wewe utakuwa na matatizo ya uono hafifu. Mbona hapo Nairobi CBD barabara nyingi ni za kawaida au unafikiri hatuijui Nairobi. Ukinikasirisha nitakuumbua na hao wapuuzi wenzako.
Sasa hyo ni nn, wakenya diaspora wanamiliki vitu vya maana zaidi huol upupu
Acha longolongo onyesha hao watu wako na vitu wanavomiliki ughaibuni. Usilete story za kwenye vibaraza vya Mombasa uswahilini Kisauni.
 
Kwa hiyo hiyo CBD ya Dar barabara zake vichochoro kwa vipimo vya macho yako? Nahisi wewe utakuwa na matatizo ya uono hafifu. Mbona hapo Nairobi CBD barabara nyingi ni za kawaida au unafikiri hatuijui Nairobi. Ukinikasirisha nitakuumbua na hao wapuuzi wenzako.

Acha longolongo onyesha hao watu wako na vitu wanavomiliki ughaibuni. Usilete story za kwenye vibaraza vya Mombasa uswahilini Kisauni.
hawezi kuleta,,,hawana huo ubavu...
 
Kwa hiyo hiyo CBD ya Dar barabara zake vichochoro kwa vipimo vya macho yako? Nahisi wewe utakuwa na matatizo ya uono hafifu. Mbona hapo Nairobi CBD barabara nyingi ni za kawaida au unafikiri hatuijui Nairobi. Ukinikasirisha nitakuumbua na hao wapuuzi wenzako.

Acha longolongo onyesha hao watu wako na vitu wanavomiliki ughaibuni. Usilete story za kwenye vibaraza vya Mombasa uswahilini Kisauni.
Acha kuumia, yani mtu kumiliki kitu kidogo uchina basi imekua gumzo..
Kuna wakenya nje wanapiga hela acheni ishu ndogo ndogo hapa..


 
If that's what makes up your cup of tea then bet but kunyans kwenye comedy wapo vizuri. Kwanzia kwenye comedy concert adi kwenye Some Tv shows. Naifatilia nchi yangu mno coz naipenda sanaaaaa but when it comes to comedy Tz inabidi tuongeze msuli baba.. bado
Nakuelewa kiasi fulani mkuu, ingawa comedy zao hua siangalii lakini sura zao of course zinachekesha kuanzia Uhuru Kenyata, Moi, n.k. Nafikiri moja ya vitu vilivyosababisha slums tourism nairobi ni the way they look funny
 
Back
Top Bottom