ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
🤣🤣🤣🤣 zile nye nye nye zimeisha wanamaisha magumu kuliko hata maisha ya nguruwe. Lazima watafute pa kutokea, Tayari kasema wao hawapo Top 5 .
![]()
🤣🤣🤣🤣 zile nye nye nye zimeisha wanamaisha magumu kuliko hata maisha ya nguruwe. Lazima watafute pa kutokea, Tayari kasema wao hawapo Top 5 .
![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 world bank kashindwa na hoja sio mmKm umeshindwa na hoja usini quote
Watasingizia corona 🤣🤣🤣🤣🤣Halafu kumbe ni ya jana tu. Mimi nilifikiri ni news ya couple of years. Duu what went wrong with mido inkamu kantri.
ajitokeze mkenya yeyote anayezalisha bidhaa kama huyo jamaa nnje ya nchi ,,,tuone
Citizen, mwambie alete link tuwajue wenzetu wa top 5
Watakwambia wana kampuni nyingi Tz, ila ukiangalia vizuri ni kampuni za wageni wanaoishi Kenyaajitokeze mkenya yeyote anayezalisha bidhaa kama huyo jamaa nnje ya nchi ,,,tuone




huo ndiyo ukweli.....Watakwambia wana kampuni nyingi Tz, ila ukiangalia vizuri ni kampuni za wageni wanaoishi Kenya![]()
Bidhaa watoe wapi au ndo hizo kiwi na blue band + OMOhuo ndiyo ukweli.....
pia kampuni zao ni kampuni office si kampuni industries za kuzalisha bidhaa


















James bond sikia im genuine with every comment natoa huku sio lazima ukubaliane nalo. Ndo maana kuna kitu kinaitwa preference. Sijui kwanini you are making a big deal out of this BS... let go bruhToa unafki wako apa, ww mbongo wa wapi ww.







If that's what makes up your cup of tea then bet but kunyans kwenye comedy wapo vizuri. Kwanzia kwenye comedy concert adi kwenye Some Tv shows. Naifatilia nchi yangu mno coz naipenda sanaaaaa but when it comes to comedy Tz inabidi tuongeze msuli baba.. badoOk nmekufuatilia nmeona kweli ww ni mbongo, ila ni mbongo mwenye fikra za Tz ya 90s, sikia ndg Tz ya ss huwezi fananisha na nchi yoyote EA wanachotuzd Wakenya ni riadha tu ambayo pia walikuja kujifunza Tz enzi zile za Filbert Bayi, tukazembea now wametupita but the rest hakuna wanachotukaribia amini kwamba.
Huenda tupo tofauti mana mm huwa hawanichekeshi kabisa to be honest, na ukiongeza ile accent wanayotumia ndo huwa natoa kabisa, bongo comedian wapo vzr ila shida imeanza pale walipoanza wavamizi.If that's what makes up your cup of tea then bet but kunyans kwenye comedy wapo vizuri. Kwanzia kwenye comedy concert adi kwenye Some Tv shows. Naifatilia nchi yangu mno coz naipenda sanaaaaa but when it comes to comedy Tz inabidi tuongeze msuli baba.. bado
Mm wakunya wananizd kwenye mbio tu hilo halina ubishi.If that's what makes up your cup of tea then bet but kunyans kwenye comedy wapo vizuri. Kwanzia kwenye comedy concert adi kwenye Some Tv shows. Naifatilia nchi yangu mno coz naipenda sanaaaaa but when it comes to comedy Tz inabidi tuongeze msuli baba.. bado