ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tanzania inawakosesha usingizi🤣🤣
Na jibu wamelipata🤣🤣👇👇👇
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
1/2 of kenyans lives below poverty line
Source world bank👇👇👇👇
"Half of Kenya lives in poverty because of the stupidity of ethnicity," DP Ruto says - Citizentv.co.ke
Km umeshindwa na hoja usini quoteleo unakataa world bank
Citizen, mwambie alete link tuwajue wenzetu wa top 5Halafu kumbe ni ya jana tu. Mimi nilifikiri ni news ya couple of years. Duu what went wrong with mido inkamu kantri.
Mbona wabongo tunapenda ubishi hvyoaya bwana yaishe.. Watanzania tupo juu
Toa unafki wako apa, ww mbongo wa wapi ww.Oi kama hamuwafatili semeni tu hvyo lakini msibishane tu ... lakini wabongo yaishe bwana tuendele na mada za maana
World bank sio ruto mbuzi wewe







. Lazima watafute pa kutokea, Tayari kasema wao hawapo Top 5 .


Ok nmekufuatilia nmeona kweli ww ni mbongo, ila ni mbongo mwenye fikra za Tz ya 90s, sikia ndg Tz ya ss huwezi fananisha na nchi yoyote EA wanachotuzd Wakenya ni riadha tu ambayo pia walikuja kujifunza Tz enzi zile za Filbert Bayi, tukazembea now wametupita but the rest hakuna wanachotukaribia amini kwamba.Mbona wabongo tunapenda ubishi hvyoaya bwana yaishe.. Watanzania tupo juu
Ww Zuwena u mrembo sn ww, the real meaning of Tanzanian woman, mzr sn ww Zuwenakitu mwake


Kazi kuiga iga wazungu tu wkt mnanuka njaa, ushuzi wa churchill ndo nn, toa ushuzi wako apa.Hao heri wazidi kujipumbaza vijana hko hko youtube, lkn watu wazima na akili zao wanenda churchill kujibudurisha
Nani awaalike hao wazee wakujitoa ufahamu katika matamasha tao ili wachekeshe watu na akili na zao..
Kwn commedy mpka ujitie utahira
Usafi na mpangilio wa hivi hawatapata kuona isipokua kwetu na kwa movies za mtoni🙂This is manzese road,
alongside is manzese streets hapa ndio wakenya huita uswazi kwa vipicha vyao vya juu vile lakin angalia nyumba za hapo hata mkazi wa karene Nairobi hawezi kurent hapa.
View attachment 1657152