Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilisoma ripoti fulani kuwa haya majengo yanapata tabu sana kujazwa. Yaani hakuna watu wanaotaka kukodi nafasi humo ndani maana hawawezi kumudu kodi au lease
Amedizain au ameiba picha ya ulaya, huwezi ona Magufuli anatoa kazi kwa mkunya mpk dunia iishe, majengo yenu tu hamuwezi ku dizain ndo itakuwa majengo ya Tz?
 
Hapa Dar inavuliwa chupi.
12423552_ejemvrxcamrc4b_jpeg6d0e4cc8f305223d7f0563e791bfb5c3.jpeg
12781549_tapatalk1606940224716_jpeg_jpegf8e6bf450f549559c4737ddb6c09fe82.jpeg
 
Amedizain au ameiba picha ya ulaya, huwezi ona Magufuli anatoa kazi kwa mkunya mpk dunia iishe, majengo yenu tu hamuwezi ku dizain ndo itakuwa majengo ya Tz?
Psf tower ilidizainiwa na Mkenya. Wewe nenda kalilie chooni. Hata ukilia damu bado haitobadilisha ukweli kuwa PSF tower na bunge lenu la taifa zimedizainiwa na Mkenya.
 
Serikali yenu instahili kucollect more taxes maana naona inatumia taxes yenu vizuri ila serikali yenyewe ipo lazy haitaki kucollect taxes ya kutosha. Mbona mnacollect nusu ya tax ambayo sisi tunacollect? Wacheni laziness malazy.
 
Serikali yenu instahili kucollect more taxes maana naona inatumia taxes yenu vizuri ila serikali yenyewe ipo lazy haitaki kucollect taxes ya kutosha. Mbona mnacollect nusu ya tax ambayo sisi tunacollect? Wacheni laziness malazy.
Sasa ninyi mnakusanya nyingi nn mlichofanya? Tunapambana kuongeza kila mwaka hatushuki...Tena Asante kwa kuona serikal inafanya juhudi
 
Weka iyo idadi hapa
Tuna 5. Hii ni kulingana na search niliyofanya ya haraka haraka. Nyie mna ngapi? Halafu tukitoka kwenye floors tunaweza kuenda kwenye height (metres) ambayo tumewapiga bila huruma.
 
Back
Top Bottom