Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ckuelewi....but sportpesa pesa inapata Kenya ni mabillioni juu inajulikana kila sehemu tangu 2014 na imevuma kuvuma....after sportpesa success makupuni za kubet na lottery online zinafika 50 sai ikiwemo za england,defabet na beltway, serikali kuona hii story ya kubet imepanda na vijana wana syke nayo waka propose tax ya 50% kwa revenue yao ili kupunguza speed izo ma kampany zilikua zinakam....
Hizo makampany zikaenda kortini na wakafaulu ipunguzwe hadi 35%...so sportpesa wanatutishia kuwithdraw iyo sponsorship
Nb.Mimi n mzalendo but ukweli nasema si ka nyinyi magufuli akisema murukie Indian oceon na kuna sharks mnafuata
Pesa hufuata pesa na bongo wanavojua kupiga deal hahaha mtaisoma no kweli na tar 1 uangalia mechi kati ya everton na manchester......jezi za everton zitakua zimeandikwa tembelea tanzania
Siku hio😀😀😀😀😀😀
Alaf magufuli anajenga nchi ndio maana lazma muone hafai maana ile hadhi yakujiona superior umeisha
 
Pesa hufuata pesa na bongo wanavojua kupiga deal hahaha mtaisoma no kweli na tar 1 uangalia mechi kati ya everton na manchester......jezi za everton zitakua zimeandikwa tembelea tanzania
Siku hio😀😀😀😀😀😀
Alaf magufuli anajenga nchi ndio maana lazma muone hafai maana ile hadhi yakujiona superior umeisha
Sportpesa ni kampuni ya kenya hata uende mbinguni na urudi haibadiliki
 
Uhuru divert his tour as protestors blocks Meru - Nkubu highway in Maua against Uhuru's empty promises...uhuru kazi anayo
FB_IMG_1498331549112.jpg
 
Sportpesa ni kampuni ya kenya hata uende mbinguni na urudi haibadiliki
leta vithibitisho vya document za uhalali kama hiyo ni kampuni ya kenya usiropoke tu...mimi nilikaa kimya makusudi ila hiyo si kampuni yenu ni wawekezaji tu yofauti tofauti ...ila lete uthibitisho
 
leta vithibitisho vya document za uhalali kama hiyo ni kampuni ya kenya usiropoke tu...mimi nilikaa kimya makusudi ila hiyo si kampuni yenu ni wawekezaji tu yofauti tofauti ...ila lete uthibitisho
Ng'ombe ni ng'ombe kweli....kampuni imeanzishwa Kenya na mkenya itakuaje si ya kenya???
 
Back
Top Bottom