Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

9bc6156bd845b1c00cf692efa7f4fa3b.jpg

8109c7b2c07c16f145c9ea7451ca6830.jpg

0358d24704467ec65aee47f65e417124.jpg

801251487824d15a5cd19dd70b3c5fa7.jpg
 
Sasa hvi wamekua wabaya😀😀😀😀😀
Bongo ukija hurudi😛😛
Ckuelewi....but sportpesa pesa inapata Kenya ni mabillioni juu inajulikana kila sehemu tangu 2014 na imevuma kuvuma....after sportpesa success makupuni za kubet na lottery online zinafika 50 sai ikiwemo za england,defabet na beltway, serikali kuona hii story ya kubet imepanda na vijana wana syke nayo waka propose tax ya 50% kwa revenue yao ili kupunguza speed izo ma kampany zilikua zinakam....
Hizo makampany zikaenda kortini na wakafaulu ipunguzwe hadi 35%...so sportpesa wanatutishia kuwithdraw iyo sponsorship
Nb.Mimi n mzalendo but ukweli nasema si ka nyinyi magufuli akisema murukie Indian oceon na kuna sharks mnafuata
 
nabii hakubariki nyumbani kwao.

a street in dar is named after a kenyan international footballer, victor wanyama.
35b46965854bebd79065ccb6d8c0322b.jpg

hongera sana wanyama.tuna ardhi kubwa,hata ukitaka ekari 50 za kuwekeza tunakupa.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

NB:
wakenya kabla hamjatoa povu,kumbukeni hii..[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
d5ef722bfc8128d7f991f1aabe521f87.jpg
 
Back
Top Bottom