Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kutofika BBC inaonyesha kuna underreporting
too late to look for excuses...the damage is already been done.

632db21149bfd4e11149b53fcaabae48.jpg
 
siyo kwamba hayupo active twitter.yupo very active but emeona ni ujinga ku-tweet chochote kuhusu kenya.to him kenya is something of no value.


to prove he is active,two days ago ali re-tweet.
6fd65fa3b3b628155927cf17af7e5cbb.jpg
umempata patamu
 
Hahahahaha.. Hahahaha... OMG...nimecheka mpaka mbavu zinauma..ndio maana victor wanyama kaja tanzania kukaa mbali na kunguni na kipindupindu cha Nairobi.
city yao si wanaisema safi kipindupindu kimetokea wap sasa ....na huo usafi wa nairobi ni upi?
 
Aii haikosei Leo umekunywa changaa uko na ujinga za kitoto
nairobi ni haibu tupu......
naiona city safi africa leo inakipindupindu na kunguni asa usafi upo wapi MZEE WA IPHONE7 Tena watu wanapata majanga hotelini daaaa ni haibu poleni sana .....hafh mnataka kushindana na jozi dah
 
masikini wakenya.....leo wamekuwa wapoleeee kama yale maji machafu ya river road.wanapost kwa uoga sana.
 
Back
Top Bottom