Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na kushindwa kulima ni ujinga unaweza tokea Kenya tuu wakati hamuishi jangwani .. Bora mjinga anaekumbuka kutafuta Chakula kuliko nyie
Brathe Kenya hakuna njaa..ni upungufu wa unga....iyo wasee wanairefer ka njaa ata maziwa mnaokunywa unadhani yatoka wapi...chakula ziko mob ni vile unga ni shida kidogo na tunazinunua mexico
 
Uhuru divert his tour as protestors blocks Meru - Nkubu highway in Maua against Uhuru's empty promises...uhuru kazi anayo
View attachment 530152
siasa kenya imepamba moto.
mungu awasaidie wakenya wasije wakachinjana kisa siasa na ukabila.

hatutaki kupokea wakimbizi toka kenya,hawa tulio nao toka congo na burundi wanatosha.
 
This danganyikans are all Stupid(99.9% if not 100)... Even the better Tuusan supports magufulis punishment on pregnant school girls.
Nyinyi wote hapo tz(+magufuli) niwajinga
mlete dada yako nimtie mimba,then akijifungua salama,namrudisha kenya aendelee na masomo.
 
Brathe Kenya hakuna njaa..ni upungufu wa unga....iyo wasee wanairefer ka njaa ata maziwa mnaokunywa unadhani yatoka wapi...chakula ziko mob ni vile unga ni shida kidogo na tunazinunua mexico
Sawa brathe naomba nikuulize... Kwani Kenya mahindi hayastawii au Hali ya hewa Hai support kilimo cha mahindi?????
 
Hakuna vita Kenya Tena...we learned from what happened in 2007/08 and such will never happen in Kenyan soil again...Amen
hata sisi hatuombei muingie kwenye vurugu za kisiasa maana madhara yaliyotokea 2007-8 ni makubwa sana.

lakini dalili za uwepo wa vurungu zimeanza kujionyesha,msipochukua tahadhari,lolote linaweza kutokea.

1b5097a3bcd5b91874ddc7f815ae6883.jpg

media zenyu pia zidhibitiwe katika ku-repost matukio kama haya cos zinaweza tumika kuleta taharuki.
 
siasa kenya imepamba moto.
mungu awasaidie wakenya wasije wakachinjana kisa siasa na ukabila.

hatutaki kupokea wakimbizi toka kenya,hawa tulio nao toka congo na burundi wanatosha.


Kuwa LDC ni sawa na kuwa refugee kwa nchi yako.......anyway hakuna vita itatokea Kenya. Hivyo ndio mlivyotabiri 2013 when ICC issue ilikuwa imechacha mkabakia kula matapishi yenu
 
Kuwa LDC ni sawa na kuwa refugee kwa nchi yako.......anyway hakuna vita itatokea Kenya. Hivyo ndio mlivyotabiri 2013 when ICC issue ilikuwa imechacha mkabakia kula matapishi yenu
Si bora kuwa LDC kuliko kuwa middle Income wa kibera
 
Kuwa LDC ni sawa na kuwa refugee kwa nchi yako.......anyway hakuna vita itatokea Kenya. Hivyo ndio mlivyotabiri 2013 when ICC issue ilikuwa imechacha mkabakia kula matapishi yenu
Anko hakuna Mtu anataka mchinjane huko bt kuweni makini na ndugu zenu wanaobishana siasa mpaka kufikia kupigana au kuuana afu cha pili media zenu nazo ziwe znaangalia taarifaa za kureport.... Coz taarifaa zngne znaweza sambaza chuki baina ya vyama vyenu... Ni ushaur tu unaeza sikilza au ukaupotezea coz mi mtz siwez kukuamlia cha kufanya buda
 
Acha nkushow;
1.nov 2016-april 2017 kulikua na ukame Kenya yote maize haigemake kugrow
2.after may maize imepandwa utake 6 months so bado tunategea
3.food zingine kama cabo,skuma haitake long
Then wakenya huona njaa kama unga hakuna ata kama unga ngano na vyakula vingine vimejaa
Kama hujaelewa ujisort
 
Sawa brathe naomba nikuulize... Kwani Kenya mahindi hayastawii au Hali ya hewa Hai support kilimo cha mahindi?????
Acha nkushow;<br />1.nov 2016-april 2017 kulikua na ukame Kenya yote maize haigemake kugrow<br />2.after may maize imepandwa utake 6 months so bado tunategea<br />3.food zingine kama cabo,skuma haitake long<br />Then wakenya huona njaa kama unga hakuna ata kama unga ngano na vyakula vingine vimejaa<br />Kama hujaelewa ujisort
 
hata sisi hatuombei muingie kwenye vurugu za kisiasa maana madhara yaliyotokea 2007-8 ni makubwa sana.

lakini dalili za uwepo wa vurungu zimeanza kujionyesha,msipochukua tahadhari,lolote linaweza kutokea.

1b5097a3bcd5b91874ddc7f815ae6883.jpg

media zenyu pia zidhibitiwe katika ku-repost matukio kama haya cos zinaweza tumika kuleta taharuki.
Hakuna vita Kenya na hakutakua na vita
 
Acha nkushow;
1.nov 2016-april 2017 kulikua na ukame Kenya yote maize haigemake kugrow
2.after may maize imepandwa utake 6 months so bado tunategea
3.food zingine kama cabo,skuma haitake long
Then wakenya huona njaa kama unga hakuna ata kama unga ngano na vyakula vingine vimejaa
Kama hujaelewa ujisort
Nimekupata anko poleni Sana kumbe mvua zilisumbua huko daaaa!!!! Ni mabadiliko tu ya tabia ya nchi so jifunzen kwenda nayo Sawa next tym msikutane na shortage ya unga
 
Back
Top Bottom