Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii inajengwa kwa wapi??
Na mambo tayari
20141116_160856_zps9d7ba3a3.jpg
20141116_160911_zpsc4e95ac8.jpg
 
Nijibu swali langu status ya britam ni sawa na status eiffel tower😀😀😀😀😀
Yani vitu vya kutumia akili unataka kubishana
Wewe unatumia mbooo kufikiria nini Eiffel ni mnara yote na iko na 3floors hadi ina restaurants... Mnara ni modern architecture ata the tallest building on earth Dubai ina mnara...so mkiargue ka dunder heads dawa yenu cjui ttatoa wapi
 
Wewe unatumia mbooo kufikiria nini Eiffel ni mnara yote na iko na 3floors hadi ina restaurants... Mnara ni modern architecture ata the tallest building on earth Dubai ina mnara...so mkiargue ka dunder heads dawa yenu cjui ttatoa wapi
Unajua nachokuuliza mm status ya britam ni sawa na status ya eiffel tower??????
kutukana ni dalili yakushindwa
So mm hua ctaki matusi tafadhali sana
 
Wewe unatumia mbooo kufikiria nini Eiffel ni mnara yote na iko na 3floors hadi ina restaurants... Mnara ni modern architecture ata the tallest building on earth Dubai ina mnara...so mkiargue ka dunder heads dawa yenu cjui ttatoa wapi
Wewe Mungu akusaidie sana 😀😀😀😀😀😀
Status ya eiffel tower ni sawa na status ya britam???????
Yani nashindwa kuelewa kisomo chako kama kiko salama
tour_img-376513-70.jpg
download.jpg
 
Hahhaha yani leo umenidhihirishia kua akili yako changa sana😀😀😀😀😀😀
Kenye nakupendea kwa vitu za kutumia akili unakuaga njee kila siku... Hizi ni ranking za designs Kali na zote zina mnara...nakuhurumia sana juu hakuna siku unawin
0cc95a84398a624d2dd50592face96db.jpg
 
wakora watatu au wanne ndani ya mall walitetemesha nchi yote ya Kenya kwa wiki nzima.so shame...
You are such an ignorant individual. Kwanza hawakuwa watatu.
In France attackers watu 9 walisimamisha dunia nzima
In all the American shootings Attackers have been either 1 or 2.
One individual holding a dangerous weapon to innocent civilians without a weapon is not easy.
The situation should be handled with skill to reduce the number of fatalities.
So wewe ambaye hujui mambo na attacks by suicidal individuals nyamaza tu unaonyesha upumbavu mwingi.
Tafuta kesi ingine inahusu maafa since all your points are based on deaths : mara famine, magonjwa, terrorism, i don't know what next you shameful prophet of DOOM. SHAME ON YOU A BILLI.
 
Mazee dar viwanja vinaisha mji unajengeka balaa mi skyscraper inachomoza kama uyoga .

Kariakoo pale kijumba kilichojengwa mwaka 1960 ukitaka kuinunua upandishe flat andaa sio chini ya milioni 500 aisee nomaa

Mwaka 1996 nilihamia maeno ya kimara kigong'o ilikuwa msitu tu na migomba lakini leo kuna mijumba balaa aisee .


Kuna kujumba kangu kama miaka hiyo nataka nikavunje nipandishe apartment fursa ya mshiko nje nje

Dar raha sana jamani wakenya

Kila mtaa nikipita watoto warembo warembo daaah mate yana nitoka

Acha dar iitwe dar

There is no success like dar success in EA
An eighth of an acre plot in Westlands is ksh 600 million. (that is ukibahatika kupata yenye inauzwa)
 
Back
Top Bottom