ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
😀😀😀😀 mwanza ina population of almost 3 million people mwanza ulioenda wewe ni ya 90s and now is 2017......nenda tena utajioneamawe ni mengi kushinda nyumba in mwanza. hiyo ndio place nishatembelea in tz
😀😀😀😀 yaonesha unaugonjwa wa wivumadoido vya bure si geni Tanzania
darislum?
Nairobi unaitaji hammered vehicle ukiwa na darubini lazima hiyo gari Iwe open roof iliusije vamiwa na mwenye njaaKutembea City inakaa slummy yote Kama Dar inahitaji mwaka mzima na kutumia punda ndani ya vichochoro vya Dar is slum. ...gari wala pikipiki haipitiki
Na nyie mlicopy wapi??????hizi vitu kama footbridge ni geni sana bongo. ...walicopy tu Kenya. keep copying neighbours. ...
name?
Manzese pedestrian bridgename?
Architecture zero
Nilikwambia ndugu hakuna kitu kinaitwa slum tanzania nzima....slum ziko kenya utake usitakeMnakataa kupea sehemu za darislum majina ndio wazungu wasiwaorodheshe. ... waliwapatia least developed country . inamaanisha nchi ni kama jehanamu
Wazito tunajitengenezea wepesi mnakocopyNa nyie mlicopy wapi??????
Au nyie ndio mliovumbua????
😀😀😀😀😀😀😀
Usitaje mwanza hapa tafadhali iyo si city😀😀😀😀 mwanza ina population of almost 3 million people mwanza ulioenda wewe ni ya 90s and now is 2017......nenda tena utajionea
😀😀😀😀😀😀 punguza povu nduguwanachange tu angles hahaha. . nyinyi tushawagundua. Ujanja ujanja lakini aeriel view mtu anadhania mji ulichomeka.. .
😀😀😀😀😀😀 asante kwa mchangoUsitaje mwanza hapa tafadhali iyo si city