Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

njaa kenya...njaa kenya.

e59429040533a3c66b437afe20c08313.jpg
Ujichocha hapa mbona sijaona tanzania imedonate
 
Hapana kwenye hili lazima tuseme ukweli. Dar kwa Nairobi bado sana! Nairobi imejengeka vizuri tena kwa mpangilio tofauti na Dar ambako mvua ikinyesha dk kumi mji mzima mnaweza anzisha mabwawa ya samaki! Dar bado ndugu zangu.
 
sisi ni business minded,hatu-donate bali tunawauzia.hatugawi chakula bure japo tunacho cha kutosha.

wekeni pesa mezani tufanye biashara.

NB:
kumbukumbu zinaonyesha tulishawahi kuwauzia mahindi 2014 mlipokubwa na uhaba wa chakula.
8889f808ed9bed3c290d92a9001eab06.jpg
a01018841e28a8aaaef213bc5ddd901e.jpg
achana na kitu kinaitwa njaa ni hatariiii😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom