Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwhyo nyinyi hamuwazi nje ya circle kabisa, au unafikiria SGR ni mradi wa miak miwili mitatu..

Sa zingine hata km unatetea ujinga lkn usifikie level hii yenu bana, mnatisha sana kidunia katika anga za kutumia akili ipasavyo
😂😂😂😂😂 Wewe ni mpumbavu! Kwani watu wanaishi ndani ya station? Station ni sehemu ya kupita na ukubwa wake uko determined by the frequency of use! Station za Dar na Morogoro Ndio kubwa zaidi kwasababu ni miji yenye Idadi kubwa ya watu hivyo usafiri katika miji hii ni very frequent. Sasa wewe kichwa boga unataka kuniambia mji kama Ngerengere unatakiwa uwe na station kubwa kama ya Morogoro? Hivi una akili kichwani?
 
Maana ya internet penetration ni followers wengi insta sio

Huyo hapo maina kagemi hajafikisha hata 1m followers insta lkn millard kwake hamfiki hta kidogo kando na followersView attachment 1650760
Huyo unamfahamu wewe na wakenya wenzako ila Milard Ayo anafahamika East and Central Africa tena hadi nje ya bara la Africa anafahamika.
 
Wewe ni mpumbavu! Kwani watu wanaishi ndani ya station? Station ni sehemu ya kupita na ukubwa wake uko determined by the frequency of use! Station za Dar na Morogoro Ndio kubwa zaidi kwasababu ni miji yenye Idadi kubwa ya watu hivyo usafiri katika miji hii ni very frequent. Sasa wewe kichwa boga unataka kuniambia mji kama Ngerengere unatakiwa uwe na station kubwa kama ya Morogoro? Hivi una akili kichwani?
Akili watazitoa wapi na njaa hiyo?
 
Wewe ni mpumbavu! Kwani watu wanaishi ndani ya station? Station ni sehemu ya kupita na ukubwa wake uko determined by the frequency of use! Station za Dar na Morogoro Ndio kubwa zaidi kwasababu ni miji yenye Idadi kubwa ya watu hivyo usafiri katika miji hii ni very frequent. Sasa wewe kichwa boga unataka kuniambia mji kama Ngerengere unatakiwa uwe na station kubwa kama ya Morogoro? Hivi una akili kichwani?
Sasa mji km moro unaokua kw kasi vile ni wa kuujengea kitu ovyo km kile, kwn ni zizi la ng'ombe nn

Tena umerudi pale pale km tz hamuwazi nje ya circle, sasa huu ni upupu gani ulioandika yani moro ndio haitokua baada ya miaka kumi..
Anyway tz miji yenu haikui mpla mngoje serekali wawajengee tena ma ofisi ya uma
 
Huyo unamfahamu wewe na wakenya wenzako ila Milard Ayo anafahamika East and Central Africa tena hadi nje ya bara la Africa anafahamika.
Kufahamika kwake na kumzidi followera bado hakumfanyi yeye kuzidiwa na huyo mwamba

Leta highest paid media personalitie wa tz tulinganishe na wa kenya uone km hamna lolote katika hyo sector
 
Sasa mji km moro unaokua kw kasi vile ni wa kuujenga kitu ovyo km kile, kwn no zizi la ng'ombe nn

Tena umerudi pale pale km tz hamuwazi nje ya circle, sasa huu ni upupu gani ulioandika yani moro ndio haitokua baada ya miaka kumi..
Anyway tz miji yenu haikui mpla mngoje serekali wawajengee tena ma ofisi ya uma
Nikiendelea kubishana na wewe na mimi nitaonekana mjinga. Baki na ujinga wako wa kikenya!
 
Maana ya internet penetration ni followers wengi insta sio

Huyo hapo maina kagemi hajafikisha hata 1m followers insta lkn millard kwake hamfiki hta kidogo kando na followersView attachment 1650760
Peleka ujinga huko...kumbe hata mana ya penetration ni shida kwakokm mko na watumiaji wengi wa internet manake lazima utaona hata watu marufu wakiwa n followers wengi
 
Kufahamika kwake na kumzidi followera bado hakumfanyi yeye kuzidiwa na huyo mwamba

Leta highest paid media personalitie wa tz tulinganishe na wa kenya uone km hamna lolote katika hyo sector
Oneni hii certified nincompoop.

Najulia wapi mishahara ya watu?
 
Peleka ujinga huko...kumbe hata mana ya penetration ni shida kwakokm mko na watumiaji wengi wa internet manake lazima utaona hata watu marufu wakiwa n followers wengi
Sema kukomalia vitu wala sio internet penetration, internet penetration maana yake sio followers midanganyika
Rudi shule ua hta u google basi
 
Back
Top Bottom