Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huo umbea uliupatia wapi?
Badala ya kunengua si mkubali tu mlibana matumizi ndio manake mpka leo mnahaha hamjui mtatoa wapi mabehewa
Tutatoa wapi mabehewa ?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie watu wa used staffs mnatujadili watu wa brand new[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...kakojoe ulale bado mdogo
 
Public School in Lindi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🏫


🏫🚸🇹🇿

Screenshot_20201215-165533.png
Screenshot_20201215-165515.png
EpQ6ykYXMAEwJqE.jpg
EpSHvluXUAAMB5Y.jpg
EpSHv2HXcAQxXao.jpg
 
Sijui km akili yako iko na akili au imenda likizo...kwa mara ya mwisho narudia ,nchi ikiwa na penetration kubwa ya internet manake users pia watakuwa wengi kitu kitakacho pelekea hata wale watu marufu katika nchi flani kuwa na followers wengi...kama hujaelewa nenda kafwate ada yako
Sio kila mtu anamfollow mtu maarufu
 
Kwani pale mbezi mnaenda kuishi, alafu magu anajua biashara kubwa kwenu ni ya mabasi..
Unaona ulivyo na akili mgando[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] unajua mbez inatoa magari mangapi kwa siku? Kweli ni kazi
 
Unaona ulivyo na akili mgando[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] unajua mbez inatoa magari mangapi kwa siku? Kweli ni kazi
Ndio manake nikakwambia magu anajua nchi maskini utumizi wa mabasi upo juu..
 
Mbezi si zege na glass zimebandikiwa juu, au kuna kipi kigeni pale zaidi ya zege kw lililokithiri[emoji1787][emoji1787]
mbezi itakuwa inafanya kazi nzito kwa siku kuliko kazi inayofanyika uwanja wa kenyata kwa mwezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Wew uko na shida kwa akil au ni kiswahil hujui ? Niwapi nimesema abari ya kila mtu ni lazima amfollow mtu maruf ?
Sasa si hyo internet pentration inawachangia km ulivyosema..

Mida ingine kaa ukitafakari kabla ya kuandika vitu, unaweza kuwa maarufu na kupata 1bn views youtube lkn bado followers wakacheza millions..

Sio kila mtu anakupenda wewe wengine hupenda kazi zako na sio zote au hata kupenda walio karibu nawe kukachangia uone ni km wapendwa kumbe kuna flani kachangia
 
Hawa jamaa wa SGR lot 1 design kama hadi April 21 hivi ndio wanakabidhi kama nimesikia Apo Kadogosa akigusia...
 
Back
Top Bottom