Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatzio haikujengwa na wakenya
Labda useme unaongea kw machungu
Si ni wale wale wachina waliowafanya kwenye SGR au sio hao🤣🤣🤣👇👇👇 wakawaambia wanawajengea SGR ya 21st century kumbe ya miaka 100 iliopita au mushasahau
3E99D5FF-3405-4567-A953-9C2C96FB1E3B.jpeg
 
SGR vipi? ndo mmeisusa kbsa? pumzi zimekata? while sisi tumetangaza tenda ya Isaka-Mwanza.. soon tunatangaza tena ya Makutupora-Isaka moja kwa moja.. na hii anapewa mchina (ni ndefu na inatakiwa iishe haraka)
We kawaida yako kujiropokoea tu, sgr yetu yaonyesha inakuumiza sana...
Ila mda ndio utaongea vizuri, lkn huu mwaka si mutapata maradhi ya moyo
 
We kawaida yako kujiropokoea tu, sgr yetu yaonyesha inakuumiza sana...
Ila mda ndio utaongea vizuri, lkn huu mwaka si mutapata maradhi ya moyo

zimebaki siku 15 mwaka uishe.. kitu gan hiko kinipe maradhi ya moyo

mda upi huo? sgr si imeanza kufanya kazi na inanukia hasara tu.. niumizwe na chinese first class ?
 
zimebaki siku 15 mwaka uishe.. kitu gan hiko kinipe maradhi ya moyo

mda upi huo? sgr si imeanza kufanya kazi na inanukia hasara tu.. niumizwe na chinese first class ?
Hahahah!!si mlikua nyinyi mumeimba wimbo wa mwakani
2020 mpka inaisha hyo mwakani bado tu, sasa sijui mtaziweka wapi sura zenu manake sai kila mahali ni kunajengwa tu
 
Back
Top Bottom