Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii yote inaweza kuwa explained kitaalamu. Ukiuliza kwa heshima unaweza kujibiwa. Uchumi wenu wa Tanzania umejikita zaidi katika subsistence farming. Yaani upandaji wa vyakula kama mahindi mihogo, mboga na kadhalika. Mimea hizi hazileti faida kubwa kwa mkulima maana anaziuza tu kwenye soko la mtaani kwa bei ndogo.
Kwa upande mwingine, Agricultural sector ya Kenya imejikita zaidi kwa commercial farming yaani upandaji wa mimea kwa ajili ya kuyaexport na kupata pesa nono kutoka kwa nchi za ulaya. Hio ni kumaanisha kuwa Kenya hatujajitosheleza katika upandaji wa chakula cha kila siku na inabidi tununue kutoka kwa majirani. Hio haimaanishi kwamba tuna uchumi mdogo bali inamaanisha kwamba hatujafocuss kwa kupanda mahindi bali tunapanda kahawa, chai, avocado, maua na kadhalika kwa minajili ya kuvuna pesa nono kutoka ulaya halafu tunatumia pesa hii kununua chakula kutoka kwenu.
Kama mnapata pesa nono mbn hamnunui chakula cha kuwatosha.
 
K
Ni aje tena umeacha kupost picha za residential areas za Dar? [emoji23][emoji23][emoji23] Ama venye nilieka za Nairobi ulilose hope?[emoji1787][emoji1787]
KWani ww umepost ngapi??
Me nimepost sehemu 2 wew umepost jengo moja huoni difference hapo?
 
Unajua maana ya slum au unatype huku ukiwa toilet?
Sasa unapinga kwamba hii sio slum?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
FB_IMG_16078602200533931.jpeg
 
eti watanzania.. ni vitu gani serikali ikifanya mtafutahia.. naomba kujua mawazo yenu

Ikianza kuchukua maeneo yote ya karibu na mjini na kuyapangilia vizuri.

1. Mchikichini
2.jangwani
3. Magomeni
4. Kigogo
5. Vingunguti.
6.Manzese

Compress Dar isivuke Mandela Road. Huko mbele pawe maeneo muhimu ya Viwanda na kilimo[emoji3](IMO)

Ukitaka kuelewa zaidi kuhusu ku compress ntaelezea baadae.
 
I can't argue with a certified fool like you. Go back to your primary one teacher he/she will tell you the answer.
You are saying that you can't argue with me yet continue quoting my posts?[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom