Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wasanii wetu wana hela,we unadhani akina marioo ni kama akina hao wasanii wenu njaa kali

Ila nimefurahi singeli nayo inatoboa internationaly
Hapo ni tanzania tena ile ya viwanda
Hamna cha hela wala nn hapo, wakati youtube wame recommend niicheki nikashtuka kuona vitu ubati kutoka kw wasanii wawaili danganyika wakiji expose wenyewe

Ila waambieni pole yao
 
Check interview yake kaeleza wazi, Tanzania hakuna nyumba za Kenya, hahaha yaani joto la Dar watu waishi kwenye Kenyans houses how?
Enheeee!!umekuja vizuri..najua wasanii wa tanzania hawaachi kitu kabisa kw misifa..
Nitumie hyo video ya interview, najua km katoa congo kwel atajisifia mbele ya cameras...

Nasubiria video hapa
 
Kenya au Congo typically
Cc: teargas kuna mwngine hku kaja ku support ujinga..
Tuma video ya interview hapa na m nikuweke moja inayoonyesha km hapo ni tanzania ndio niwamalize kabisa..

Yani hilo ni bomu tokea jana nimeliweka
 
Usiombee mziki wa RPG uwakute wanajeshi wenu pendwa
Mtaimboleza hadi mshangae
Kale chakula cha mchana upumzishe akili usiwe na mawazo sana na hii thread...
Na ujue mimi nakufundisha ww ila kuelewa ni juu yak.
Na hata usipende kuni qoute sana sibishanagi na vifaranga humu kuna wakenya walikuwa heavy na argument za maana walikuja wakapita we cha kukushauri ongeza uwezo wa kukusanya taarifa na kuchambua ili uweze kukuza uwezo wa kufanya midahalo na kukubali kushindwa ndio kunafanga argument iwe bora zaidi nje na hapo utaishia majigambo kama unavofanya na sio kujibu hoja.
Usipende kuaminisha umma kuwa wakenya wote nyie ni mafala bora ufunge mdomo
 
Kale chakula cha mchana upumzishe akili usiwe na mawazo sana na hii thread...
Na ujue mimi nakufundisha ww ila kuelewa ni juu yak.
Na hata usipende kuni qoute sana sibishanagi na vifaranga humu kuna wakenya walikuwa heavy na argument za maana walikuja wakapita we cha kukushauri ongeza uwezo wa kukusanya taarifa na kuchambua ili uweze kukuza uwezo wa kufanya midahalo na kukubali kushindwa ndio kunafanga argument iwe bora zaidi nje na hapo utaishia majigambo kama unavofanya na sio kujibu hoja.
Usipende kuaminisha umma kuwa wakenya wote nyie ni mafala bora ufunge mdomo
We ulishaona lini mi nika quote maboya ka wewe, we ndio umeshoboka ukaniquote kwhyo tulia zikuingie hapa wengine si wanenguaji..

Nenda baba
 
Happy jamhuri day ma fellow kenyans
254779632258_status_d560f8d8ed5941ea9c050c24d0413282.jpg
 
Tanzania BRT Vs Matwana Culture. Hiyo ndio level ya BRT and not Nairobi Commuter Railway

Leteni hizo sanduku zenu hapa sasa?

This is Matwana Culture
View attachment 1644962
View attachment 1644952
Aliyewaambia hivi vitu vinavutia aliwadanganya sana,hivi mimi naenda kazini au natoka kazini nakutana na usafiri kama huu.,.siwezi kwa kweli,nid to calm myself, digest things...ukute humo ndani kelele mtindo mmoja.Mziki uko juu kweli kweli...hiv kwenu hakuna wakubwa?!.
 
Jeshi masikini kuliko
Usifikirie Kenya ni LCD kama nyinyi.
Kufikia mwaka Jana Kenya's military spending is greater than that of both Uganda and Tanzania, combined.🤣🤣🤣🤣

Kwa military spending Tanzania haiko ligi yetu. Najua nyinyi hapa hampendi kuambiwa facts lakini soma facts zenyewe hapa 👇👇

 
Back
Top Bottom