Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama tu wanamgambo wa Somalia wanatumia silaha zilizozeeka na wanawapapasa hamna hamu nao imagine wangepata silaha za kisasa
Baadala ya kupiga kelele hapa at least ungeshachanga pesa mnunulie jeshi lenu silaha. Ukosefu wa silaha ndio ilisababisha mkatwe shingo kule Congo
 
Yees,that's the city ..go wherever mumbai,tokyo,riyadh,seoul,LA you will find that many block houses with brt.
Bush is for villages
So this how LA and Seoul looks like?
Dar-es-Salaam-masterplanning-London_07253e55b7ca164b8d0056b8f5e17f5d.jpeg
 
Hao wanasumbuliwa na beginners
Kabisa!!jamaa wana ak tu na wakaharibu kijiji kisha wakatoweka..

Al shabab wanapiga rpg km tatu hivi hadi unakuta umevurugwa akili alafu hku wengine wana hzo machine guns wanaleta bila hesabu mbona usishtuke kwanza
 
Sasa unataka tupiganie migingo kwani nini iko huko? We are aiming for oil wells along Somalia coastline wewe unakuja na mambo za migingo, huko hatuezituma hata watchmen
Hata sungura aliposhindwa kuyafikia matunda yaliyokwiva,baada ya kujaribu mara kadhaa..akayaita mabichi

Museveni is our own boy,ni kijana wa jwtz chini ya general sarakikya..aliwapiga mkwara mmoja tu,nyie mkatii amri,sasa fanya hisabati,yeye kama mlimshindwa,sisi mtaweza kweli( in diamond's voice)
 
Hata sungura aliposhindwa kuyafikia matunda yaliyokwiva,baada ya kujaribu mara kadhaa..akayaita mabichi

Museveni is our own boy,ni kijana wa jwtz chini ya general sarakikya..aliwapiga mkwara mmoja tu,nyie mkatii amri,sasa fanya hisabati,yeye kama mlimshindwa,sisi mtaweza kweli( in diamond's voice)
Museveni km angelikua kidume miaka ishirini yote ya moi alikaa kimya
Wamekuja wapole wasiopenda fujo basi ywajitia kidume..

Uzuri uhuru na kibaki hawamfuatizii, anabaki kuonekana km mwehu tu..

Jaribu kuuliza mziki wa moi alivyowafanay waganda museven akaufyata
 
Unajua kilichowakuta baada ya hapo, wana elade ukiwapata waulize kilichowakuta ndani ya masaa machache..

Mji walihama
Ahsante kwa kukubali kuwa KDF walifirwa,na wengine kukimbilia kichakani na kuwaacha wamarekani wakipambana wenyewe
 
Ahsante kwa kukubali kuwa KDF walifirwa,na wengine kukimbilia kichakani na kuwaacha wamarekani wakipambana wenyewe
Lamu al shabab waliuliwa na kenya Navy
Mi naongelea mziki wa elade we unaongelea lamu ambapo USA wameona aibu baada ya kuona magaidi wameuliwa na kenya navy ndio wakaamua kupindisha
Ili wasionekane inferior
 
Back
Top Bottom