Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unafufua vitu za january zile ulistore kwa gallery. ...hii ujinga yako ni legendary
Na hio je????????
Screenshot_20170623-144324.jpg
 
there is a rumor that fc barcelona's forward player,neymar da silva santos is coming to tanzania for a vacation.

wakenya ombeni hii habari ibaki kuwa tetesi isiwe kweli.

wallah ikiwa kweli,tutawa-troll mpaka mtakasirika.round hii mtajibeba

102142e55d4dbadc19d92f68772751e1.jpg
 
El Matador
just look on what facts Nairobi imeiacha Dar kwa hatua katika hizo comparison
ndo utajua Dar na Nairobi are two sisters with different mothers

....yaan kuna vitu ambavyo ni very potential Dar imevipita Nairobi na ndo vitu hivyo hivyo ambavyo akina ichoboy na COLLO walikua wana_debate humu kwny thread

things like
~population density
~unemployment rates
~average salary
~economic growth
~n so many stuffs ambazo ndo potential kwa uimara wa jiji lolote hapa duniani

but Nairobi imei_beat Dar kwa
~capital city
~weather conditions
~corruption
~n other stuffs
 
El Matador
just look on what facts Nairobi imeiacha Dar kwa hatua katika hizo comparison
ndo utajua Dar na Nairobi are two sisters with different mothers

....yaan kuna vitu ambavyo ni very potential Dar imevipita Nairobi na ndo vitu hivyo hivyo ambavyo akina ichoboy na COLLO walikua wana_debate humu kwny thread

things like
~population density
~unemployment rates
~average salary
~economic growth
~n so many stuffs ambazo ndo potential kwa uimara wa jiji lolote hapa duniani

but Nairobi imei_beat Dar kwa
~capital city
~weather conditions
~corruption
~n other stuffs


Angalia income na population density vizuri.
 
2e1c8a60b681bf5c4d78e9892126f161.jpg

Labda ndio sababu nakumat inafulia uku Tz, huwez jaza unga kwa shelf alaf utegemee utafanya bizz
 
2e1c8a60b681bf5c4d78e9892126f161.jpg

Labda ndio sababu nakumat inafulia uku Tz, huwez jaza unga kwa shelf alaf utegemee utafanya bizz


Kuna 40 branches plus za nakumatt in kenya. .....hizo branch za Tanzania ni nne if my guess is right.Majority of their branches are functioning its only that they cant break even
 
feeder roads in Kenya ni kazi ya governors
Ata huku kuna barabara za halimashauri na tanroads. Usifikili nihuko kenya tu. But naona governors Kenya wanatafuna sana pesa za barabara alafu barabara zao ni substandard sana and they don't pay on time. Ishort kuna matatizo mengi sana mwenye barabara za governors.
 
Ata huku kuna barabara za halimashauri na tanroads. Usifikili nihuko kenya tu. But naona governors Kenya wanatafuna sana pesa za barabara alafu barabara zao ni substandard sana and they don't pay on time. Ishort kuna matatizo mengi sana mwenye barabara za governors.


Your bias in seeing the bigger picture blinds you.There are some governors doing very well in infrastructural Development like the one for Machakos,Trans nzoia and wajir as example
 
El Matador
just look on what facts Nairobi imeiacha Dar kwa hatua katika hizo comparison
ndo utajua Dar na Nairobi are two sisters with different mothers

....yaan kuna vitu ambavyo ni very potential Dar imevipita Nairobi na ndo vitu hivyo hivyo ambavyo akina ichoboy na COLLO walikua wana_debate humu kwny thread

things like
~population density
~unemployment rates
~average salary
~economic growth
~n so many stuffs ambazo ndo potential kwa uimara wa jiji lolote hapa duniani

but Nairobi imei_beat Dar kwa
~capital city
~weather conditions
~corruption
~n other stuffs
 
Back
Top Bottom