Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,203
- 33,398
Unaongelea Mozambique wakati magaidi wako ndani ya Tanzania[emoji23][emoji23][emoji1787], mnawaogopa kama moto[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]Sisi sio watu wa makaratasi, kazi ya jeshi ni kushinda vita, tumeshawasambaritisha magaidi Mozambique, who is next?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]