Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1)Vita vya ukombozi kusini mwa Afrika
2)Vita vya Sychelles
3)Comorro
4)Uganda
5)DRC (M23)
6)Vita vya ugaidi Mozambique

Who is next?
1)Boko haram?
2)Alshabaab?
3)KDF?
Tanzania has never won any fight that's a fact, you hide under big boys and then you claim that you won. In Uganda it's Israelites that defeated Iddi Admin and not Tanzanians. Nyinyi kazi yeni ilikuwa kuiba ndege zao tu
 
Tanzania has never won any fight that's a fact, you hide under big boys and then you claim that you won. In Uganda it's Israelites that defeated Iddi Admin and not Tanzanians. Nyinyi kazi yeni ilikuwa kuiba ndege zao tu
kaibeni na nyie kama ni rahisi 😂😂😂😂🐒unafkiri ni mikate na icecream ya Westgate au mikaa ya somalia?
 
Hawa ni Alshabab waliokamtwa na KDF?
Tangu lini wanajeshi wa Mozambique wakawa wakawa wa Tanzania?, Ebu nijibu hiyo swali, tangu lini?

IMG_20201210_235445_261.JPG
 
Eti leo 450meter bridge wajenge kwa 12 month hawa watu wanalaana 🤣🤣🤣🤣 daraja la 120m wanakwambia 450m
 
Tanzania has never won any fight that's a fact, you hide under big boys and then you claim that you won. In Uganda it's Israelites that defeated Iddi Admin and not Tanzanians. Nyinyi kazi yeni ilikuwa kuiba ndege zao tu
Iddi Amini alipigwa na KDF, hawa hapa KDF wanampiga Idd Amin
 
Sisi
Toa ujinga hapa. Here's the list of strongest armies in East Africa, kama hukubaliani nayo unaezachapisha list yako
1. Ethiopia
2. Kenya
3.Uganda
4.Tanzania

Soon South Sudan itawapita
hata south sudan watupite on paper hatuna shida on the ground hakuna nchi inaweza kujicompare na sisi...

Hata IDDAMINI alikuakua na jeshi strong kuliko TZ on paper lakini muulize alivoingia ground alikutana na nini TZ..

Jeshi la TZ ni unmatched kwa AFRICA lakini sio la matangazo mengi nadhani hata juzi mlimsikia JPM.
 
Nyinyi hsmkushinda Vita yeyote. Alafu tuma links zenye zinaezafunguka, usidhani huwa sisomi hizo links
Ww ndio unasema au ww ndio msemaji wa jeshi la tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila waliokuwepo kipindi kile ni kwamba idd amin alipigwa na tanzania asubuhi mapema 🤣
 
Hatujainyanganywa Tank venye mlinyanganywa kule Mtwara
kitugani kilikufanya uamini ile apc ilkua ya tz? leta evidence hapa!!

vipi el ade mlipoteza humvee ngapi? apc ngapi? bunduki ngapi? wangapi waliolewa na alshabab?
yani alshab 40 wakateka kambi nzima watu 300 wakafa 200 wakaolewa 100 wakatoroka wengine had leo awajulkani walipo 😂😂🐒🐒🐒🐒 tafadhali usifananishe jw na izo takataka zenu huko ni kukosa heshma kwa shemwako(mme wa dadaako.
 
Back
Top Bottom