Ndio usafiri wao mkubwa 🤣🤣🤣🤣🤣Hawa KIMA bado wanapakizwa kwenye CHAI-Maharage???
Ss cc wanatujengea vitu vzr km hv alafu wao wanapanda ushuzi wa panzi.
Hawa jamaa wana lana sana hawa eti hivi vyuma wametengeneza wao a.k.a made in Kenya[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1644833View attachment 1644834View attachment 1644835
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio munatudanganyia hio 🤣🤣🤣You may think this is not Nairobi. Our buses will make yours look like toys. You are confusing NMS buses and BRT Buses
View attachment 1644837
Kabisa usijali nikienda nje ya nchi utakua mkalimani wangu, ule usinibwage kw mambo na pronounciation jomba..
Hvo ndivo hilo neno linatakiwa kutamkwa sasa, ila kw kuandika linatofautiana na wahusika sehemu nyingi duniani..
Miongoni mwa vilivyonileta hapa ni pisi kali, wewe upo kwenye scope ya interest zanguWe avatar yangu inakuhusia nn jamani, mbna hamjui ku mind vitu vyenu..we fuata kilichokuleta hapa..
Wala hutonikuta mimi nahangaika na avatar za wengine
Matatu culture kumbe hiaga inakuumizaIsuzu hii hapa[emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1644840
Shobo zitakuponza baba..Miongoni mwa vilivyonileta hapa ni pisi kali, wewe upo kwenye scope ya interest zangu
Hahaha!!nipinge kw hoja basiwewe ni kajinga sana.
Unabisha km hayapo stone town, sema kwii nikuumbue sasa hiviNdio unajidanganya hvo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maneno yakingereza yote yanatakiwa yatamkwe km inavyotakiwa jomba[emoji23][emoji23]Ndo mana walimu wa kenya sikuizi wamekosa sana soko bongo zamani walikua wanatudanganya sana sasa mwalimu aje anambie pronounciation ni moja dunia nzima si ntamuona chizi??
Yani mnawakana Wazanzibari hivi alafu mutaanza kuposti hoteli zao. 😂 😂 😂Hio ni culture ya wazaznzibari ushagoo kwao huko na siku hzi wameendelea sio kama zaman
Kenya utapata hzi chai maharage🤣👇👇 tena nairobi city center
View attachment 1644800View attachment 1644801View attachment 1644802
Ss cc wanatujengea vitu vzr km hv alafu wao wanapanda ushuzi wa panzi.
Hawa jamaa wana lana sana hawa eti hivi vyuma wametengeneza wao a.k.a made in Kenya[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1644833View attachment 1644834View attachment 1644835
Sent using Jamii Forums mobile app