ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ndio BRT inajengwa hvo au unafkiri BRT ni sawa na kula chapati kwani mulivopaka huu upupu mulijua BRT ni nn???🤣🤣👇👇Geza Ulole na The best 007 ndio hio BRT imeanza kujengwa. Soon pillars zitaanza kujengwa. Kama uonavyo foundation ya pillars zinajengwa




