Hiii kwao bado ndoto Nairobi bado sana
BRT inakuuma sana 🤣🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 1644551View attachment 1644552View attachment 1644553View attachment 1644554View attachment 1644555View attachment 1644556View attachment 1644557
Kwn hayo mabasi ndio mnatumia kusafirishia watu darHaha
Sio culture ni umaskini. Centre au fuzo au isuzu used from japan pamoja na modification na hazizidi 50000$.
Bus aina ya yutong minimum price 130000$.
Mnashindwa kuaford mnajifanya matatu culture, yani culture kusafirisha binadamu kweny fuso?? Angalia culture hii apa chini.
View attachment 1644907View attachment 1644909
View attachment 1644910


Matatu kenya ni culture mpende mkatae sisi bado tunaendeleza kuunda body magari yetu wenyewe vile tutakavyo..Sio canter kweli, naona kama mitsubishi cheki vizuri.
View attachment 1644917View attachment 1644919
View attachment 1644913
View attachment 1644915
Tena zanzibar sio cityHuyo zwazwa anafikiri zanzibar ina mkoa moja



What!! Do you make mitsubish center? And fusoz??Uko na ujinga sana, we make our own buses we don't import from outside the country like you![]()
Vipanya kama vya bunjumburaaaa
Aise wakenya ni washamba sana yani mitaa taa hiyo inawapagawisha wti wanaimport ma bus ya miaka ya 60 wanaweka vitaa taa wanasema wao ndo wametengeneza.Baas, hii ndiyo battle nilikuwa nataka. Enjoy please
View attachment 1645001View attachment 1645002View attachment 1645003
Sisi TZ ,kadi ya gari huonyesha idadi ya abiria na rangi ya gari.Uko na ujinga sana, we make our own buses we don't import from outside the country like you![]()
Hata Kijiji I magari kama hayo no ovyo Sana boss. Upgrade.Hakuna mtu amewakana zanzibar ni tanzania ila hio ni culture iko kijijini sana na siku hzi wameanza kuelimika 😀😀😀😀