Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani hapo mlipigwa, magari yote yanaelekea only two directions..
Cheki pangani ilivyochorwa wewe inagawa magari pande zote zote kw plan ya kueleweka
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 musubiri yesu ashuke kuwasaidia
2CA42477-9846-4BEE-8F5E-8988E0837620.jpeg
 
Ulitakiwa pia utuletee idadi tunayo produce na ku import wala sio hizi porojo..
Maize km sikosei less than 10% ndio tuna import mchele pia vile vile..
Km unapinga sema nikupige na ushahidi, ndio manake hutowai skia wakenya wanalalamika hakuna chakula bali ni wale wanaokumbwa na janga la(drought) hko northern kenya na baadhi ya sehemu kame..

Lkn eti kuhusu vyakula kwetu vipo we ukitaka kasirika
Kwahiyo huyo mlevi wenu alikua amelewa wakati akizungumza?, vipi kuhusu hii?
 
Interchange inayopeleka magari in only two direction
Eti kisha jamaa anataka ishindanisha na pangani inayogawa magari kote kote at the same time
Two level vs three level wapi na wapi mzee 🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom