Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Two level vs three level wapi na wapi mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inayopeleka magari kote kote vs ya pande mbili[emoji23][emoji23]
Yani mumepigwa aisee, majamaa wamefanya kuwajengea msalana alafu tosha..
Angalia pangani wewe ilivyoundwa
 
Inayopeleka magari kote kote vs ya pande mbili[emoji23][emoji23]
Yani mumepigwa aisee, majamaa wamefanya kuwajengea msalana alafu tosha..
Angalia pangani wewe ilivyoundwa
Leo three level inashindanishwa na two level 🤣🤣🤣👇👇👇 haiwezi kuitwa ingerchange ikiwa inapeleka magari sehemu moja nafkiri ushanielew 😅😅😅😅

 
Hahahaha, hii nchi sijui wanatumia nini kufikiria, DMU ya serikali inatoza gharama kubwa kuliko private sector,"man eat man country".
Lazima warudishe madeni lasivo 80% of the budget itakua inaenda kwa mchina kulipa deni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwahiyo huyo mlevi wenu alikua amelewa wakati akizungumza?, vipi kuhusu hii?
Kwn ukipungukiwa na 5% ndio hufai kusema km hatujitoshelezi..
Akili zenu huaga mnazipeleka wapi, manake naona hutaki kukubali km sisi percentage kubwa ya vyakula vyetu vinazalishwa kenya hko kwngine ni kujazilia tu..

Na unajua km kenya matumizi yetu yapo juu kuwaliko, au hili pia utapinga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]



Km msalaba vile[emoji23][emoji23]
Si heri mgelitengeneza round about tu basi..
Yani interchange inayogawa gawa magari ya kwenda direction mbili tu, kituko cha mwaka[emoji1787]
 
Km msalaba vile[emoji23][emoji23]
Si heri mgelitengeneza round about tu basi..
Yani interchange inayogawa gawa magari ya kwenda direction mbili tu, kituko cha mwaka[emoji1787]
Only three level interchange in east and central africa 🤣🤣🤣👇👇👇👇
16E36022-1976-4451-AC0D-1ADBE55AE0B7.jpeg
 
Sikiza wenye akili zao sasa[emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]





















Endelea kuleta tweets za watu wa Busia border wenye hata hawajui Nairobi Central Station iko wapi[emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Kwan ww umeweka nn?? Au sio twitter hio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo tweet ya The Star. That's a big magazine company located in Nairobi. Wewe umetuekea tweets za watu wa Busia, Moyale na Mandera.[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Jipe matumaini kwa vile hamukua na three level mpaka ilipokamilika ubungo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mukihesabu floors munahesabu kwenda chini ????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Sasa tubomoe Pangani hili nyinyi pekee ndio mkue na three level interchange?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
IMG_20201205_234050_149.JPG
IMG_20201205_234538_782.JPG
 
Back
Top Bottom