Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilwa ulikua mji wa biashara pamoja na lamu enzi hzo...
Kulikua na sultanete flani hko ndio muanzilishi kaenda kw ajili ya kufanya biashara zake..
Na ujue hko pia kulikuwa na mreno, kilwa ilikuja kusambaratika
Sasa mbna ulisema historia haijui lindi hujui kilwa ni lindi??
 
Nimesema 80% ya walio comment sio wakenya wote, wewe umejuaje kwamba wakenya wanaotumia Youtube ni opposition pekee?, Yaani mkenya yeyote mwenye kupenda nchi nyingine basi lazima awe ni kutoka opposition, ina maana kama wewe ni mkikuyu wa Jubilee huna uhuru wa kuelezea hisia zako lazima uunge mkono Jubilee hata kama imeshindwa kuongoza nchi?
Hata wa CHADEMA pia wanatamani sana wawe km vile wakenya, unapinga
 
Three level interchange tulipata ten years ago. Endeleeni kushangilia vitu Kenya ilijenga 10 years back[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Hii pangani interchange ambayo ni 2level imejengwa km kwenye 2012/2013 ss iyo ten years imetoka wapi.
 
Sasa mbna ulisema historia haijui lindi hujui kilwa ni lindi??
Kilwa ilisambaratika lindi ni mkoa ulitengezwa juzi juzi tu..soma historia wewe..

Hku hata malindi pia sultan alikua na biashara zake pamoja na bandari lkn hutomskia mtu akiitaja malindi katika mada km hzi..

Mi hushangaa na watazania eti mpka msukuma nae anajisifia kiswahili
 
Kilwa ulikua mji wa biashara pamoja na lamu enzi hzo...
Kulikua na sultanete flani hko ndio muanzilishi kaenda kw ajili ya kufanya biashara zake..
Na ujue hko pia kulikuwa na mreno, kilwa ilikuja kusambaratika
Na historia ya kiswahili inaenda beyond sultan period, namaanisha sultan kakikuta kiswahili na akaweka capital yake pale zanzibar stone town lkn kabla ya hapo kulikua na wa kreole ambao kwa sasa wako mouritious, seyshells, reunion,comoro. Hawa watu walikua wanaishi pwani. Na walikua wanaongea kiswahili japo sio kama cha sasa. Ukitembelea comoro kikomoro kinasound kma kiswahili na hata maneno. Mouritious kuna kikreole poa ni kama kiswahili kwa mbali so hio ndo historia sio kwamba kimeanza mombasa na zamzibar.
 
Hata wa CHADEMA pia wanatamani sana wawe km vile wakenya, unapinga
CHADEMA ineshakufa hakuna tena iyo kitu, wanagomba na kupigana makonde kila siku, wanachama wameshasambaratika, ina maana huna hiyo habari?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kam
Kilwa ilisambaratika lindi ni mkoa ulitengezwa juzi juzi tu..soma historia wewe..

Hku hata malindi pia sultan alikua na biashara zake pamoja na bandari lkn hutomskia mtu akiitaja malindi katika mada km hzi..

Mi hushangaa na watazania eti mpka msukuma nae anajisifia kiswahili
A nilivokwambia kwasasa kiswahili asili yake ni Tz baada ya evolution kubwa sana kuna maneno mengi sana ya kisukuma kichaga na lugha nyingine za kibantu yameingizwa kweny kiswahili nakua kiswahili so kwa sasa kiswahili sio lugha ya pwani tena ni lugha yenye asili ya Tz inayoongelewa Africa mashariki.
 
Kuna historia za aina mbili.
1. Ambayo mombasa mnaijua
2. Ambayo dunia tunaijua

Ziko nadharia nyingi za asili ya kiswahili kama zifuatazo.. kiswahili ni
1.kikongo
2.kikreoli kama umetembea bahari ya hindi utaelewa hii
3.kipijini
4.ni kiarabu
5.kibantu
6.na nyinginezo

Ukiongelea asili ya pwani ambapo ni nadharia pia katika nadharia nyingi unaongelea km16 za bahari ya hindi na visiwa vyake ambapo unapata miji kama
Mikindani(mtwara)
Lindi
Kilwa
Pwani
Mzizma, DAR ES SALAAM
Bagamoyo
TANGA
mombasa
Lamu
Zanz bar
Comoros
Mayotte
Na visiwa vingine vingi (hapa pia utagundua kiswahili asili ni pwani na sehemukubwa ya pwani ya africa mashariki iko tanzania)
Kumbuka miji yote hiyo ni chini ya km20 kutoka bahari ndio ilikua pwani ya waarabu ambayo ilikua ni makazi ya waswahili sasa iyo historia ya asili ya kiswahili ni mombasa kamwambie kenyatta.. hata ivyo kiswahili kama lugha kimepitia evolution kubwa sana na kwa sasa Baraza la kiswahili la tanzania ndio taasisi kubwa ya lugha ya kiswahili duniani so kiswahili ni lugha ambayo kwasasa tunasema ni asili ya Tanzani. Nadhani darasa limeeleweka hapo. Kamuelimishe kenyata.
[emoji2923][emoji3548][emoji3548][emoji375][emoji375][emoji373][emoji373][emoji373]
 
CHADEMA ineshakufa hakuna tena iyo kitu, wanagomba na kupigana makonde kila siku, wanachama wameshasambaratika, ina maana huna hiyo habari?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We pia si mmoja wao, hukumbuki hapa kuna siku ulituletea kadi ya chama cha demekrasia[emoji1787][emoji1787]
We pia ulishanunuliwa pande za kunengua tu
 
Na historia ya kiswahili inaenda beyond sultan period, namaanisha sultan kakikuta kiswahili na akaweka capital yake pale zanzibar stone town lkn kabla ya hapo kulikua na wa kreole ambao kwa sasa wako mouritious, seyshells, reunion,comoro. Hawa watu walikua wanaishi pwani. Na walikua wanaongea kiswahili japo sio kama cha sasa. Ukitembelea comoro kikomoro kinasound kma kiswahili na hata maneno. Mouritious kuna kikreole poa ni kama kiswahili kwa mbali so hio ndo historia sio kwamba kimeanza mombasa na zamzibar.
Kiswahili zama hzo kilikua kinaitwa kingozi km huna habari
 
We pia si mmoja wao, hukumbuki hapa kuna siku ulituletea kadi ya chama cha demekrasia[emoji1787][emoji1787]
We pia ulishanunuliwa pande za kunengua tu
Habari ndio hiyo, kwahiyo wacha kuzungumzia CHADEMA, kimeshafukiawa katika kaburi la sahau, kinachotamba sasa hivi hapa Tanzania ni BBI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiswahili zama hzo kilikua kinaitwa kingozi km huna habari
Hahaha, hiyo ni kwa mujibu wa Kenyans, kwasababu kila kitu lazima kiwe na matoleo mawili "Versions"
1)Authentinc
2)Kenyan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Courtesy of NDINDA
6FB741E5-738C-4B59-B319-3BF2D948E110.jpeg
 
Kam

A nilivokwambia kwasasa kiswahili asili yake ni Tz baada ya evolution kubwa sana kuna maneno mengi sana ya kisukuma kichaga na lugha nyingine za kibantu yameingizwa kweny kiswahili nakua kiswahili so kwa sasa kiswahili sio lugha ya pwani tena ni lugha yenye asili ya Tz inayoongelewa Africa mashariki.
Tatizo historia haijui km kiswahili asili yake ni tanzania[emoji1787][emoji1787]
Eti wasukuma nao wamo[emoji15]
 
Back
Top Bottom