komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Naona unatafuta pa kutokea sio, sasa kw taarifa yako kenya watu wanamiliki ardhi na pia ukijiskia unanua na hakuna siku utaambiwa imeisha..Kwa sasa hamna mpinzani kwa upande wa slums, kubali kwanza hilo,halafu hayo mambo ya kubomoa sijui flyover yaje baadae
Najua jinsi ilivyo ngumu kwa mkenya kumiliki ardhi katika nchi yao wenyewe
Ni rahisi kwa muhindi kutoka india kumiliki ardhi kuliko mkenya aliyezaliwa kenya..
When we say kenya is failed state,we mean it
Mashinani upande wa kule kwetu ardhi imejikalia hadi vijana katika jamii wameanza kugaiwa ardhi. Yani unapewa unafyeka

All these interchanges ziko Southern Bypass.

