
Hii ni underpass buda.
Alafu nimegundua ni kwmb hujui maana ya interchange.

Ulitaka uletewe pedestrian path! Ukaletewa footbridge ukaanza kubwabwajawatu wataona nani mjinga zaid yako
![]()
Hujui kutofautisha interchange, bypass, overpass, underpass, flyover pia bridge.This is an interchange. Tulieni na interchange zenu mbili![]()
Ni kusoma ndio hujui ama? Ni wapi nimesema pedestrian bridge and footbridge ni vitu viwili tofauti.Aisee J.F inafurahisha sana hasa ukikutana na watu wajuaji kama ww kwaiyo pedestrian bridge ni tofauti na footbridge?? Ivi hawa ndo akenya mnaosema wanajua kingereza hata
( A na a)wanasema ni tofauti. Pedestrian bridge ni footbrigde kwasababu ukibadili kwa kiswahili yote yanakua madaraja ya watembea kwa miguu. Ukija na propaganda za baiskeli basi we ni mkenya hasaaaa..

Wewe ndio hujui kutofautisha. Watu wa interchanges mbiliHujui kutofautisha interchange, bypass, overpass, underpass, flyover pia bridge.


Yani tunadai ndege 3 amabayo moja inaingia mwezi huu na mbili zinaingia mwakani airbus A320 alaf kuna ndege nne mpya wame order tayar na advance payment tayarhapa sielewi vizuri ndege nne baada ya zile tano (moja ya mizigo) au hizi nne ni ndani ya zile tano? Inabidi wafafanue vizuri!
Leta hzo interchanges 20Wewe ndio hujui maana ya interchange. Tulieni na interchanges zenu mbili. Dar ni size ya Kisumu when it comes to roads.





Wewe naye ni mjinga kuliko wote hapa. Wapi imeandikwa lazima iwe na ngazi mbili kuenda juu?Ile iwe three level mzee lazma iwe na ngazi mbili kwenda juu hakuna haja ya kuforce![]()


Kwa hivyo this interchange in Kolkata Indonesia sio three level interchange?



Waache waweke mpaka izo footbridge bado hawafiki 17. Sio 20Leta hzo interchanges 20![]()
Maneno ya mkosaji, Kisumu fananisha na Morogoro hukomko na moja tu kisumu kuna mbili kubwa kushinda huo uchafu
Mbona u arudia hahahh mpka sasa mko na 4 tu...tena vitu vya level ya malawi
basi wamepunguza idadi maana bajeti ya 2020-2021 walisema wananunua ndege tano nne abiria na moja ya mizigo!Yani tunadai ndege 3 amabayo moja inaingia mwezi huu na mbili zinaingia mwakani airbus A320 alaf kuna ndege nne mpya wame order tayar na advance payment tayar
Vipi hapa ndo zimeisha au??9th interchange in Nairobi.View attachment 1642864
Sijui mimi ndo sikuelewa au nimesahau sio kwamba izo ndege 5 zilikua kwa miaka 5 ijayo??? Kwaiyo labda hapo ndio mwanzo??basi wamepunguza idadi maana bajeti ya 2020-2021 walisema wananunua ndege tano nne abiria na moja ya mizigo!
Here is the tenth one.Waache waweke mpaka izo footbridge bado hawafiki 17. Sio 20
Eleventh interchange.Vipi hapa ndo zimeisha au??