Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

World bank kukokotoa revenue over population inamake sense ingawa wakiamua kukushusha kwa maslah ya wazungu watafanya wanavyotaka thats why tunasema humu mara kwa mara world bank wakiwa waungwana TZ ni tajiri kuliko wanaturank now.
Pia hata swala la poverty, waoneshe jamii hata moja ya watu wanaoishi kwa povrty kama ilivyo kwenu turkana na nairobi wanakopikia watoto mawe

tapatalk_1605970655461.jpeg
 
Hadi south Africa wako nyuma yenu sindio?
Duh vodacom wanatumia logo ya blue!!??..hiyo ni mwaka 1989 mara ya mwisho kutumia hiyo logo ni mwaka 1994..picha za zamani sana,hizo hiace hadi leo kenya zatumika,huku bongo hazitumiki kwa passenger ni kosa kubwa kisheria,kubalini mko nyuma yetu sana
 
Hadi south Africa wako nyuma yenu sindio?
Ndo maana yake mega city kama hii dar,jiji kuu lenye population zaidi ya million 7 tutumie vipanya,kweli????..haiwezekani,
Pili,south africa vipanya havitumiki throughout the country,ni baadhi tu vi-city vyenye hadhi ya nairobi,kumbuka dar ni miongoni mwa miji 5 yenye best public transport,be exposed,uploading those outdated photos will only reduce your pain but the truth will last forever
 
Back
Top Bottom