Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibu ndio hii hapa.
Wala hata hakuna haja y kubishana na nyie...mana kama mpka Nigeria hawafui dafu kwa kunya inapo kuja swala la slums...next stop 100% loans to GDP
Screenshot_20200903-091400.jpg
 
GDP kubwa hata wananchi hawawezi kujenga nyumba binafsi hiyo GDP kubwa inawasaidiaje wakunya
Kwa hivyo wakenya wanaishi juu ya miti? Am ni mawinguni? 😂 😂 That's how much sisiemu has poisoned your minds!!
 
😂😂😂😂

Wakenya huwa wanapenda Magufuli na Tanzania kwa moyo wote tatizo wanaweka pictures zake kwenye maeneo ambayo hayaendani na hadhi yake, hilo fuso la mkaa ndio binadamu wanasafirishiwa 😂😂😂😂😂
Afadhali hizo zinasafirisha binadamu. Hizi hapa chini sinafaririsha nini? Sokwe?
darstreetfromabove-996x747.jpg
file-20190122-100279-1e1wh05.jpg
E9G64T.jpg
AXHGKB.jpg
 
Hivi yale mabanda pale Kibera na Korogojo unaweza kusema wanaishi juu ya miti au maeinguni?. Yale mabanda hata nguruwe wa Tanzania hawezi kulala, hali ni mbaya sana.
Afadhali hayo mabanda covers only 2.5 square kilometers of Nairobi land. You can't compare with the infamous dream houses of Dar that covers 2/3 of the city.
 
Back
Top Bottom