joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Onyesha nyumba ya blocks hapa, haya ndio mabanda ya NgurueDenial as usual. You will even deny your own existence soon
Onyesha nyumba ya blocks hapa, haya ndio mabanda ya NgurueDenial as usual. You will even deny your own existence soon
Kumbe unajua kuwa ni choo? sasa hapo inaonekana ni kwenu. Hayo makazi yanaonekana kabisa ni ya Nairobi, huwezi kuishi kwenye nyumba hazina upenyo DSM na ukawa haiSo kumanisha siku hizi mnalala hadi kwa choo?![]()
Buda hata ukilazimisha vipi hutakaa ukute slum TanzaniaKwa hivyo leo kuna slums Tanzania? 😂 😂 Tuamini nani kati yako na vilaza wenzako wanaosema hamna?
Na hatupigi hata kelele! 😂 😂
Tupe video za hivi karibuni kama ile ya hapo juu hivi vipicha ni vya zamani sana .Sisi hatuna slums. Tuko na dream houses. Walisikika watanzania wakisema![]()
View attachment 1638485View attachment 1638486View attachment 1638487View attachment 1638488View attachment 1638489
Kama mwendo ni huo basi hakuna cha kujivunia hapa. Mbona niingie kwenye basi kisha nibanwe na watu mithili ya gunia za mahindi kwenye kona? Alafu nijione eti natumia huduma bora ya usafiri!! Eti nivumilie kusimama kando ya mtu ananuka makwapa na mdomo! No nimelipa nauli!!!!
Magufuli effect millionaire mwingine
Nionyeshe corridor pana hapa na Kama ipo mbona watu wabanane?hiyo BRT bus unaona ina hanger za kushikia,zimetengenezwa mahususi kwa kazi hiyo,na iko na coridor pana kwa ajiri ya kusimamisha watu.
huo ndio usafiri wa umma.
Nionyeshe corridor pana hapa na Kama ipo mbona watu wabanane? View attachment 1638527View attachment 1638529
Google picha za jamii forum ndio zile zile munaokota google munapost alaf munasema dar 😅😅😅😅😅😅Sisi hatuna slums. Tuko na dream houses. Walisikika watanzania wakisema 😂 😂 View attachment 1638485View attachment 1638486View attachment 1638487View attachment 1638488View attachment 1638489
👇👇👇😅😅 hutaelewa maana ya BRT kwasababu hamunaNionyeshe corridor pana hapa na Kama ipo mbona watu wabanane? View attachment 1638527View attachment 1638529
Uganda sisi rafiki yetu mbona kawakamua sasa😅😅😅😅😅😅
Warudishie picha zao au google inakupoteza akili 😀😀😀👇👇👇Sisi hatuna slums. Tuko na dream houses. Walisikika watanzania wakisema 😂 😂 View attachment 1638485View attachment 1638486View attachment 1638487View attachment 1638488View attachment 1638489
Maana ya BRThutaelewa maana ya BRT kwasababu hamunaView attachment 1638568View attachment 1638569View attachment 1638570View attachment 1638571




Hutaelewa maana ya BRT 👇👇👇👇 kwasababu imebakia ndoto kwenu