Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
It is old but modern.!!??Is old but modern,we love the train,it feels comfortable in there,
Sio vibaya kujifariji ati,maana kumuelewesha mpumbavu nayo ni kazi aisee
It is old but modern.!!??Is old but modern,we love the train,it feels comfortable in there,





Unauliza swali unauliza jibuhahaha hujui kama mabasi ni mapya au unataka pakutokea
Hatununui mtumba sisi,we serikali nzima inanua vitu used..shame kwa serikali ya kihuni ya kenyaBRT buses zenu ni mpya?.![]()
Kheeee
Another award for Kenya. First ulikuwa Africa, sasa ni World.
Mbona huko Kenya Hospitali za serikali lakini mnalipia?,Km ni zenu mbna basi mlipie toll na mradi ni wa public
Yani project eti pesa za serekali alafu unalipia toll fee..mwanangu kua uone mengi
Kheeee
Usikute humu tuna battle ni vichaa sie hatuelewi...jamani nina mashaka na akili za jamaa hapo juu,huenda dish limeyumba![]()
It is old but modern.!!??
Sio vibaya kujifariji ati,maana kumuelewesha mpumbavu nayo ni kazi aisee
Kwhyo siku hizi watu wanalipia toll fee hospitali sioMbona huko Kenya Hospitali za serikali lakini mnalipia?,



Kubali tu mlifeli alafu ndio mjirekebishe, maneno mengi wala hayotosaidia kuepukana na mafuriko pale jangwaniKipande ni kidogo sana jangwani inapokatiza msimbazi river and kazi imeanza ya kuongeza kina cha mto na kutoa michanga
Naona kumbe unaipenda jf sana, mpka unayakana maneno yako mwnwyweKwa ppp kwamba mchina anajenga kwa pesa zake alaf anakuja kuwakamua miaka 30
View attachment 1636494


Mbona usijue na wakati wewe hyo 30 years ulikuwepo kiwandani kule spainAlienunua alisema ni refubrished kwan bahat nzuri tunajua zilitumika spain miaka mingi iliopita![]()



Naezakumba hizo days akisema kuwa Expressway ikijengwa ataondoka JF.Naona kumbe unaipenda jf sana, mpka unayakana maneno yako mwnwywe
Ka edit hyo post ya kitambo basi



Emu tuwekee bei na tuliyonunulia kidogo nione vile kule mirembe unafaa ward gani ya wagonjwaMatopolo sio myie munaokwenda kununua vyuma chakavu kwa bei sawa na mpya![]()