Kuna wakati nilitaka kucomment hapa kwamba kuna uwezekano tumeagiza behewa kutoka kampuni tofauti.Just confirmed hawa wanaenda kufuata mabehewa, Nimeukiza wamesema ya Korea tofauti na haya wanayoyafuata ni mengine.
Nairobi does it again.. ..another proposed road with 2 viaducts to be constructed in upper hill..nairobi..rais uhuru hataki mchezo kwa upande wa maendeleo
View attachment 1634565
Mazingira yanakaa huko kisimayu🤣🤣
Just use credible sources,,tuliwachapa kwa world travel awards,,mbona usipost hizo reports hapa🤣
tulia basi mbona una mapepe siku hio nitakutafuta bro 😅😅😅😅Treni za umeme zioi hzo
Mtanzania gani ambae huyo ashawai panda treni ya umeme hko bongo..
Yani sgr bado mtaiskia tu mpka ile siku mtalipa hela za wenyewe
Hakuna mpaka sasa hvi miradi yote inafadhiliwa na serekali unajua sababu kubwa ile wananchi wasije hangaika na kulipa ushuru kwa mwekezaji 😂😂😂Kwhyo bongo hakuna mradi wa ppp eee![]()
Kama kwa ppp sawa ila serekali itoe 600m usd inatoa wapi kwa mfani ikiwa pesa ya kulipa salaries hakuna just imagine 😂😂😂Naona mziki inachange
1.Ulianza kwa kusema kuwa expressway haitawaijengwa.
2.Ukaenda kwa kuitisha construction board
3.Sasa saa hii unasema kuwa haingekuwa juu ya ppp haingejengwa.
Kwani mwanzoni venye ulikuwa unasema haitawaijengwa hukujua ni PPP?![]()
Hela ya kulipa iko wapi mzee 600ksh per car iko wapi kwa uchumi gani mliokua nao leo 😂😂😂😂😂 yatarudi yale yale ya SGRHyo c shida kwani ww ndio utalipia hyo inakuumia wapi ilikuwa proposed saa hii ni reality bado unabisha
Ndio inajengwa hvo 😂😂😂😂 na hii inaitwaje👇👇👇👇Hyo ni bus stand
Jibu swali kijana, venye ulikuwa unasema haitawaijengwa kwani hukujua ni PPP?Kama kwa ppp sawa ila serekali itoe 600m usd inatoa wapi kwa mfani ikiwa pesa ya kulipa salaries hakuna just imagine
Kama kwa hiii ppp kua mchina ataichukua kwa miaka 30 huku mukikamuliwa hapo sawa uzuri wa mchina habahatishi
View attachment 1634919


Sikujua ni ppp nilijua kenya ndio inajenga kwa pesa zake ndio maana nikasema za kulipa madaktari mishahara hamuna hio pesa munatoa wapi😂😂😂😂😂Jibu swali kijana, venye ulikuwa unasema haitawaijengwa kwani hukujua ni PPP?![]()
Naona hii barabara inakuuma sana. Mbona usiandikie wachina barua wapeleke hii barabara Tanzania ?Sikujua ni ppp nilijua kenya ndio inajenga kwa pesa zake ndio maana nikasema za kulipa madaktari mishahara hamuna hio pesa munatoa wapi
kumbe mchina miaka 30 ni yake alaf akiwakamua 600ksh per car hapo sawa
View attachment 1634974


Ww ndio ulisema kenya hua haiombi msamaha wa madeni au sio ww najua umejifanya hujaiona 😃😃😃Jibu swali kijana, venye ulikuwa unasema haitawaijengwa kwani hukujua ni PPP?![]()
![]()