ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Yes acha kabisa bro technology hioIko vyema sana hasa iyo part ya kubend
Yes acha kabisa bro technology hioIko vyema sana hasa iyo part ya kubend
Mate X?Hii kitu tamu sana samsung fold2 5G [emoji116][emoji116]
Pic by iphone 12 pro
View attachment 1632467View attachment 1632468
Hio ni samsung z fold2 5GMate X?
Nazungumzia ushawahi iona Huawei mate XHio ni samsung z fold2 5G
Km mmarekani aloo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hawa ndio kiboko ya mabeberu.
View attachment 1632358
Naijua vzr sanaNazungumzia ushawahi iona Huawei mate X
Hii kitu tamu sana samsung fold2 5G [emoji116][emoji116]
Pic by iphone 12 pro
View attachment 1632467View attachment 1632468
Ipo ww na roho yako tu😂😂👇Noma sana, 12 Pro lete tuoshe macho sisi wengine bado bado [emoji23]
Sasa wewe mwenye ulifika primary mbona unabebeshwa ujinga na unakubali?We jamaa tz hakuna corona, mm cwez nikakaa hapa naongopa nijifuraishe kwa upuuzi cz am not a Kenyan, unapewa facts from ur hasbands na bado huamini ss usiongee pasipo ushahidi hebu weka ushahidi kwmb covid ipo tz, usiongee km mtu ambaye hajawahi fika hata primary.
Hutaki tena vitu kw ground jamani[emoji23][emoji23]Hutaki tuzoom pamoja na filter lakini kitu kimekataa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umepanic baada ya kuiona makupa[emoji23][emoji23][emoji23]Uhehehehehehehe kwa vile nairobi imeshindwa kutoboa sasa unaleta na mombasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa huu utumbo [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1632432
Lete hyo tafiti hapa[emoji23][emoji23]Unataka source ya kutoka wapi unafkiri wanajiekea kipuuzi kabla ya kufanya tafiti au wivu unakusumbua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa km hutaki vitu kw ground unatakaje sasa[emoji23][emoji23]Niamini kwa lipi kwamba ww utanidanganya nn kuhusu mombasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii hapa imekubali kwanguHutaki tuzoom pamoja na filter lakini kitu kimekataa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta 50km concrete in africa ukipata nitag mm nifunge acc sasa hvi😂😂Lete hyo tafiti hapa[emoji23][emoji23]
Badala ya kuongea huu upupu unge prove ningeshaamini kwmb nabebeshwa ujinga.Sasa wewe mwenye ulifika primary mbona unabebeshwa ujinga na unakubali?