Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwan hii kapost nani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
View attachment 1632219
Utaumizwa na Mombasa wewe
EYB-ZVNXgAECezW.jpeg
 
So kama unajua inaeza isijengwe kwann hua munashadadia vitu hamuna uwezo navyo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio hio tu ni projects nyingi sana kenya mumefeli pasipo kujitambua
Hio mimi sijawahi kuisupport. Nyingine ambayo sijawahi kuisupport na nafurahi ilikufa kifo cha mende ni Mombasa - Nairobi expressway. Ile ambayo ilikuwa ijengwe na kampuni ya US inayoitwa Bechtel. Tatizo yenu Wabongo ni kuwa hamtaki mradi wowote ujengwe hapa Kenya. Hata SGR hamkuwa mnataka ijengwe. Hata Lamu port pia hamtaki. Huo ni wivu tu. Lakini tunawaelewa ndugu zetu.
 
Hio mimi sijawahi kuisupport. Nyingine ambayo sijawahi kuisupport na nafurahi ilikufa kifo cha mende ni Mombasa - Nairobi expressway. Ile ambayo ilikuwa ijengwe na kampuni ya US inayoitwa Bechtel. Tatizo yenu Wabongo ni kuwa hamtaki mradi wowote ujengwe hapa Kenya. Hata SGR hamkuwa mnataka ijengwe. Hata Lamu port pia hamtaki. Huo ni wivu tu. Lakini tunawaelewa ndugu zetu.
hatutaki kivp? SGR and Lamu zilianza kitambo na zimelega kitambo! wacha kuleta blame kwetu ambia Uhuru na Chinese financiers!
 
Hio mimi sijawahi kuisupport. Nyingine ambayo sijawahi kuisupport na nafurahi ilikufa kifo cha mende ni Mombasa - Nairobi expressway. Ile ambayo ilikuwa ijengwe na kampuni ya US inayoitwa Bechtel. Tatizo yenu Wabongo ni kuwa hamtaki mradi wowote ujengwe hapa Kenya. Hata SGR hamkuwa mnataka ijengwe. Hata Lamu port pia hamtaki. Huo ni wivu tu. Lakini tunawaelewa ndugu zetu.
Hatutaki vipi wakat miradi munajenga inabakia white elephants na bado ni loan projects alaf leo munaski more than 70% debt to GDP ratio munashtuka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ SGR imebakia white elephant
 
Hio mimi sijawahi kuisupport. Nyingine ambayo sijawahi kuisupport na nafurahi ilikufa kifo cha mende ni Mombasa - Nairobi expressway. Ile ambayo ilikuwa ijengwe na kampuni ya US inayoitwa Bechtel. Tatizo yenu Wabongo ni kuwa hamtaki mradi wowote ujengwe hapa Kenya. Hata SGR hamkuwa mnataka ijengwe. Hata Lamu port pia hamtaki. Huo ni wivu tu. Lakini tunawaelewa ndugu zetu.
Wivu gani bro wakat hzi ni media zenu wenyewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
 
hatutaki kivp? SGR and Lamu zilianza kitambo na zimelega kitambo! wacha kuleta blame kwetu ambia Uhuru na Chinese financiers!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ww subiri na hii nairobi express uone mchina atakavowakamua vzr
 
na uliposema idadi ya watu ndio sababu akili uliacha wapi???
You need to reread and understand what I said badala ya kupiga kelele pasi na uelewa. The first person to mention population is him, not me. Go back, read, understand then come back later.
 
You need to reread and understand what I said badala ya kupiga kelele pasi na uelewa. The first person to mention population is him, not me. Go back, read, understand then come back later.

wacha viingereza mob pointless.

umeulizwa kama hearth service qualities kigezo cha kuishinda corona kama ulivyobeza tanzania!!!kwanini nyinyi mna wagonjwa wachache ukilinganisha na US!!!

ukakurupuka na pop,ulivyo wa ajabu ukasahau.tunakufuatilia kwa ukaribu sana unachoandika,usidhani unabishana na vilaza wenzako hapa.
 
wacha viingereza mob pointless.

umeulizwa kama hearth service qualities kigezo cha kuishinda corona kama ulivyobeza tanzania!!!kwanini nyinyi mna wagonjwa wachache ukilinganisha na US!!!

ukakurupuka na pop,ulivyo wa ajabu ukasahau.tunakufuatilia kwa ukaribu sana unachoandika,usidhani unabishana na vilaza wenzako hapa.
Kilaza ni wewe usiokubali kwamba ni kilaza mwenzako ndio alianza hii issue ya population
 
Tanzania can't even save itself and you are talking about Tanzania saving Kenya
Believe what you want to believe I have no problem with that [emoji23][emoji23][emoji23]
Are you dumb ,fool or idiot? On my comment were did i say any thing about saving kunyans...spare me with your monga pass left
 
Back
Top Bottom