Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ila Dar waiache tu kiukweli....


nice pic though

Ila Dar waiache tu kiukweli....


nice pic though

Unataka source ya kutoka wapi unafkiri wanajiekea kipuuzi kabla ya kufanya tafiti au wivu unakusumbua tu😂😂😂😂Source youtuber tena katoa kutoka kw maneno ya majukwaani
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Niamini kwa lipi kwamba ww utanidanganya nn kuhusu mombasa 😂😂😂😂
Hutaki tuzoom pamoja na filter lakini kitu kimekataa 😂😂😂😂😂Si nakusaidia ku zoom vitu kw ground
Au umeumia jamani
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Uhehehehehehehe kwa vile nairobi imeshindwa kutoboa sasa unaleta na mombasa 😂😂😂😂😂😂 kwa huu utumbo 👇👇👇👇👇Huyo dickhead anakuwanga mjinga sana. Tunawaambia hapa kila siku kwamba level ya Dar ni Mombasa lakini hawasikii
Ukiskia kilaza ndio huyo yani kichwa dafu 😂😂Are you dumb ,fool or idiot? On my comment were did i say any thing about saving kunyans...spare me with your monga pass left
Hapo wanatamani wapate make up walete ila mambo ni ngumuUhehehehehehehe kwa vile nairobi imeshindwa kutoboa sasa unaleta na mombasakwa huu utumbo
View attachment 1632432





Yani ni amnazo kweli huyu...Ukiskia kilaza ndio huyo yani kichwa dafu![]()




Hii cluster ni next generation


Nenda nae taratibu tu😂😂😂Yani ni amnazo kweli huyu...![]()
Inashangaza sn mkuu.kuna watu wanajenga daraja la watembea kwa miguu washaanza kelele wakati mwanaume Tanzania anajenga around 4 mega bridges (Selander, Kigongo Busisi, Wami and Pangani) na ametulia! Hivi Tony254 mna akili timamu kweli?
Iko vyema sana hasa iyo part ya kubendHii kitu tamu sana samsung fold2 5G
Pic by iphone 12 pro
View attachment 1632467View attachment 1632468
We jamaa tz hakuna corona, mm cwez nikakaa hapa naongopa nijifuraishe kwa upuuzi cz am not a Kenyan, unapewa facts from ur hasbands na bado huamini ss usiongee pasipo ushahidi hebu weka ushahidi kwmb covid ipo tz, usiongee km mtu ambaye hajawahi fika hata primary.Unapojadili mambo kama haya hauhitaji kujadili kutumia hisia. Unaposema mbona USA iko na idadi mara nne ya wagonjwa nchini Kenya umejiuliza population ya USA ni ngapi? How can you compare a country with over 200 million people with a country of just over 50 million people? The dynamics are not the same. Hata hiyo Rwanda na Italy, do they have the same population?
The thing is, nchi inakuwa na wagonjwa wengi au wachache kulingana na idadi ya watu waliyoko kwenye nchi husika so your argument doesn't hold any water. Ni kweli USA iko na wagonjwa wengi mara nne ya Kenya kwa sababu the total number of people in USA pia ni mara nne ya Kenya. Vitu vingine ni kutumia tu akil.
Halafu bara la Africa kutoathirika zaidi is a question of hardened immunity na pia kuna baadhi ya nchi ambazo hazijaweka data zao wazi kuhusu huu ugonjwa, Tanzania ikiwa moja yao