Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa watu ujenzi wao kuanzia wa nyumba mpaka miundombinu upo kiduanzi-duanzi tu

Kwenye sector ya ujenzi wapo hovyo kupita maelezo yaani hovyo haswa, hata nyumba zao za kuishi na finishing ni vituko vitupu
Tanzania nako kuna majumba au ni uswazi tu
 
Screenshot_20201118-210048.png
 
LOL unaongea nini wewe?
Juzi tu hapo mmeshauana zaidi ya wawili kwenye campaign conflicts

Ni Corona tu imewabana, kama sio hiyo mpaka saivi mngeshachinjana zaidi ya 300 kabla ya uchaguzi

Tuonyeshe lini before kura zipigwe watu wakaleta vurugu...
Hayo ni mambo ya magu na museven tu, uchaguzi bado siku tatu watu wanapigwa risai..
Kisa wanahofia kupokonywa madaraka
 
Carter nani amekudanganya kuwa kila wakati meli linapotua bandarini kushusha mizigo lazima lipakie mizigo ndio ling'oe nanga? Itakuwa huelewi maana ya transshipment wewe.
Unazingua sasa! Battle imekupofusha na kukufunga ufahamu. Haya nipe vigezo vya bandari kuitwa trans-shipments na vile inavyo operate.
 
Yes I do, that is a salary of a computer/software engineer at Spirit AeroSystems (before federal and state tax). Any more questions?
Asante sana, na hyo basi ndio average salary na wengi wao wanachezea chini ya hapo
 
Back
Top Bottom