komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Tena unajua kwel tofauti ya overpass na flyover au unaruka ruka tu hapa
Tena unajua kwel tofauti ya overpass na flyover au unaruka ruka tu hapa
Tanzania nako kuna majumba au ni uswazi tuHawa watu ujenzi wao kuanzia wa nyumba mpaka miundombinu upo kiduanzi-duanzi tu
Kwenye sector ya ujenzi wapo hovyo kupita maelezo yaani hovyo haswa, hata nyumba zao za kuishi na finishing ni vituko vitupu


Hawa jamaa kuwaelewa ni ngumu mno si kiswahili wala kingerezaLOL kweli kiswahili kwenu mtihani
Nimesoma mara 10 10 sijaelewa hata ulichoandika![]()





Shuzi la bata






Tuonyeshe lini before kura zipigwe watu wakaleta vurugu...LOL unaongea nini wewe?
Juzi tu hapo mmeshauana zaidi ya wawili kwenye campaign conflicts
Ni Corona tu imewabana, kama sio hiyo mpaka saivi mngeshachinjana zaidi ya 300 kabla ya uchaguzi
Kama hyo ni overpass basi there is no flyover in Kenya mana zote ziko hvyoHyo ni overpass jomba![]()





Unachokinena unauhakika nacho au unabwata tu..Kama hyo ni overpass basi there is no flyover in Kenya mana zote ziko hvyo![]()
kuna ya kibaha! Mind u Kibaha is Pwani!Tuletee overpass nje ya dar
Ukipata natoka jf
Ilete hapa tuionekuna ya kibaha! Mind u Kibaha is Pwani!
Pitia picha za Kimara highway na usisahau in Dodoma city the 110 km ring road will have several overpasses ! halafu na sisi tuletee ujenzi wa daraja la over 1 km Kenya nzima!Ilete hapa tuione
Unazingua sasa! Battle imekupofusha na kukufunga ufahamu. Haya nipe vigezo vya bandari kuitwa trans-shipments na vile inavyo operate.Carter nani amekudanganya kuwa kila wakati meli linapotua bandarini kushusha mizigo lazima lipakie mizigo ndio ling'oe nanga? Itakuwa huelewi maana ya transshipment wewe.
Old man this is a bridgePitia picha za Kimara highway na usisahau in Dodoma city the 110 km ring road will have several overpasses ! halafu na sisi tuletee ujenzi wa daraja la over 1 km Kenya nzima!
![]()
we kijana una wazimuKama hyo ni overpass basi there is no flyover in Kenya mana zote ziko hvyo![]()
Yes I do, that is a salary of a computer/software engineer at Spirit AeroSystems (before federal and state tax). Any more questions?Wacha uwenge wewe, unajua mtu anayelipwa $10k per month USA ni mtu wa aina gani..
Ukurupukaji km kawaida yenu
Asante sana, na hyo basi ndio average salary na wengi wao wanachezea chini ya hapoYes I do, that is a salary of a computer/software engineer at Spirit AeroSystems (before federal and state tax). Any more questions?