Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hey bibie... long time! Hujaachaga tu ufala?

Kuna meli spesho kwa kusafirisha magari tu. Sijui kama mlishaziona huko kwenu?
Zipo tena nyingi kabisa, ndiposa nikauliza kwn magari hasafirishwi kw containers..ulipaswa kunijibu swali langu wala sio kubwabwaja
 
Yet Tanzanians are the least traveled East Africans.
Kuna wakati mwengine huwa ninapata taabu sana kuelewa uwezo wenu wa akili, sasa kuheshimika kwa nchi na kutembea kwa raia wake kuna uhusiano gani?

Actually kwa Africa, nchi ambayo raia wake wanazunguka sana duniani ndio inazidi kupoteza heshima yake huko duniani kama Nigeria na Kenya, Zimbabwe, Somalia, na Ethiopia.

Ukiona raia wanatawanyika duniani kote, ujue hiyo nchi maisha ya raia wake ni mabovu sana, huwezi kuta raia wa Botswana, Seychelles, Mauritius, Tanzania, na Namibia wanazagaa duniani kote

Nchi
 
kwenye ishu za uchaguzi.. kenya na uganda huwa wana hali mbaya sana

kwenye ishu za uchaguzi.. kenya na uganda huwa wana hali mbaya sana

Nchi pekee yenye kufanya uchaguzi kwa amani na wenye kufikia viwango ukanda huu ni Tanzania, ikifuatiwa na Uganda kwa mbali, Kenya uchaguzi ni unyama na ushenzi mtupu, mwaka jana ndio wanajisifia uchaguzi ulikua wa amani lakini watu 67, waliuliwa. Tanzania ukiacha wazanzibar mwaka 2001, Hakuna vifo vilivyotokea bara.
 
Kuna wakati mwengine huwa ninapata taabu sana kuelewa uwezo wenu wa akili, sasa kuheshimika kwa nchi na kutembea kwa raia wake kuna uhusiano gani?

Actually kwa Africa, nchi ambayo raia wake wanazunguka sana duniani ndio inazidi kupoteza heshima yake huko duniani kama Nigeria na Kenya, Zimbabwe, Somalia, na Ethiopia.

Ukiona raia wanatawanyika duniani kote, ujue hiyo nchi maisha ya raia wake ni mabovu sana, huwezi kuta raia wa Botswana, Seychelles, Mauritius, Tanzania, na Namibia wanazagaa duniani kote

Nchi
Leo naona umekuja kivingine, sema tu ilikua unataka muonekane km mpo kundi moja na akina namibia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nchi pekee yenye kufanya uchaguzi kwa amani na wenye kufikia viwango ukanda huu ni Tanzania, ikifuatiwa na Uganda kwa mbali, Kenya uchaguzi ni unyama na ushenzi mtupu, mwaka jana ndio wanajisifia uchaguzi ulikua wa amani lakini watu 67, waliuliwa. Tanzania ukiacha wazanzibar mwaka 2001, Hakuna vifo vilivyotokea bara.
Nionyeshe lini kenya kulitokea vurugu before uchaguzi km nyie na hao waganda wanavyokinukisha hko..
Ukioata nitag[emoji23]
 
Kuna wakati mwengine huwa ninapata taabu sana kuelewa uwezo wenu wa akili, sasa kuheshimika kwa nchi na kutembea kwa raia wake kuna uhusiano gani?

Actually kwa Africa, nchi ambayo raia wake wanazunguka sana duniani ndio inazidi kupoteza heshima yake huko duniani kama Nigeria na Kenya, Zimbabwe, Somalia, na Ethiopia.

Ukiona raia wanatawanyika duniani kote, ujue hiyo nchi maisha ya raia wake ni mabovu sana, huwezi kuta raia wa Botswana, Seychelles, Mauritius, Tanzania, na Namibia wanazagaa duniani kote

Nchi
NOTED:imeisha hiyo
 
Is that progress ndivo munavojidanganya sasa😂😂😂😂😂
You've always said the same thing about all projects in Kenya mwishowe unatoka na aibu. Ni juzi tu ulikuwa unataka uonyeshwe billboard ya expressway. Baada ya kupata mshtuko wa moyo kuona inajengwa hujawahi ongea ujinga za billboard tena. Hata hii pia utaibika tu mwishowe kama kawa
 
Kenya is used to flyovers nowadays. If something like this was to be constructed in Dar es Salaam, it could be breaking news right now in all Tanzanian Media and radio station
by the way hawangelala...uzuri sisi wakenya hatuna mda huo..waga tunajenga na kusonga mbele...hatulazimishi dunia nzima ijue..
 
Kenya is used to flyovers nowadays. If something like this was to be constructed in Dar es Salaam, it could be breaking news right now in all Tanzanian Media and radio station
Malizia kenya is used to old flyovers za tofali, in dar kuna flyovers 11 za kisasa zitaanza kujengwa ukiacha hz mbili pale chang'ombe na uhasibu.
 
I can't talk to a person who is coming from a country with less than 3 flyovers
Malizia kenya is used to old flyovers za tofali, in dar kuna flyovers 11 za kisasa zitaanza kujengwa ukiacha hz mbili pale chang'ombe na uhasibu.
 
Huu ni Uwanja Uliopo Wilayani Karatu Arusha
salehjembefacts_20201118_190920_0.jpg
Screenshot_20201118-190737.jpg
salehjembefacts_20201118_190920_1.jpg
 
Thika is another county au nadanganya😂😂
sometimes you reason like a kid...so mahali boundary ya nairobi county imeishia ndio nairobi city lazima iishie hapo juu kuna wall imeekwa kuznguka county?...iyo part ingine tuiite mombasa town.hivi shule ulienda kusindikiza wenzako au?
 
Malizia kenya is used to old flyovers za tofali, in dar kuna flyovers 11 za kisasa zitaanza kujengwa ukiacha hz mbili pale chang'ombe na uhasibu.
kkkkk....kwa hiyo flyover zenu zimetumia udongo na fito?ebu jengeni mwanzo ndio mje hapa.sisi zimetuchosha.sijambo la kushobokea tena huku kwetu
 
sometimes you reason like a kid...so mahali boundary ya nairobi county imeishia ndio nairobi city lazima iishie hapo juu kuna wall imeekwa kuznguka county?...iyo part ingine tuiite mombasa town.hivi shule ulienda kusindikiza wenzako au?
LOL kweli kiswahili kwenu mtihani

Nimesoma mara 10 10 sijaelewa hata ulichoandika 😅😅
 
Back
Top Bottom