Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama hujui kitu sema uelezewe. Usilete battle kwa kila kitu. Hii ni asilimia moja? Wavuta bangi wamejaa Tanzania

Ss wewe unavyoona hapo kuna nn zaidi ya ghorofa moja pekee? Au ni yale maghorofa ya kwenye render ndiyo unajivunia nayo? Kenya bhn yn mnapoteza pesa nyingi kwa upuuzi ambao gharama zake hamziwezi, ilipasa hyo pesa ya ku dizain Konza city mpeleke maji, umeme na hospitali kule kwenye ma slums ya kidunia yanayotesa wananchi wenu na co hz ndoto za alinacha mko nazo.

Jengeni mambo muhimu kwanza kama sisi tunavyofanya zen hayo mengine luxury yatakuja automatically.
 
DSC_2504.jpg

DSC_2504.jpg
 
Sasa alipwe vp wakat sheria za tanzania hazimruhusu mgeni kumiliki ardhi mbona siwaelew
Kampuni za Kigeni zinaruhusiwa! The best approach kwa serikali ya Tanzania ni kujibu kesi yake na kumshinda na si hiki inachofanya kumkwepa! Air Tanzania inajikuta inakuwa na constraints kwenda lucrative routes.
 

Tanga Cement continues talking to Tanzanian government about new grinding plant in Arusha​


Written by Global Cement staff11 November 2020

Tanzania: Tanga Cement says that talks with the government about a new 0.5 – 0.75Mt/yr grinding plant in Arusha are progressing. Discussions about the project with the authorities originally started in 2016, according to the Daily News newspaper. At present the cement company transports cement to the region using a freight train that was recently inaugurated.

 
Ona ulivyo na wazimu, tumeshindwa kujenga bagamoyo port au tumegoma kujenga.
You failed to reach an agreement with the financer of the project leading to it stalling. Kama mko na pesa za kuijenga why were you looking for financers and why has it stalled to-date?
 
You failed to reach an agreement with the financer of the project leading to it stalling. Kama mko na pesa za kuijenga why were you looking for financers and why has it stalled to-date?
It's not economically viable and that's why nikakwambia huwa hatujisumbui na white [emoji208], huwa hatuko km nyie kujenga ili kuonesha mtu.
 
Mkuu ni muhimu na lazima alipwe, ni haki yake na tunapoteza mapato mengi kwa kushindwa kumlipa, tutashindwa kwenda routes za Ulaya pia tukiendelea na huu mvutano
Atcl itoe pesa wapi? Ama wanangoja bailout from the government?
 
It's not economically viable and that's why nikakwambia huwa hatujisumbui na white [emoji208], huwa hatuko km nyie kujenga ili kuonesha mtu.
Visingizio hamkosangi. Magufuli suspended the construction of Bagamoyo not because it was not economically viable, but because they could not reach an amicable agreement with the Chinese na pesa (za ndani 😂) pia hamna
 
Back
Top Bottom